- 140 views
Wakazi kaunti ya Migori, wameibua wasiwasi kutokana na kuongezeka kwa visa vya uhalifu katika maeneo kadhaa ya Kaunti Ndogo ya Nyatike. Wakazi hao walisema wamerekodi visa vya mashambulizi na uvunjaji wa nyumba huko Sori na Macalder mtawalia. Katika kisa cha hivi punde, Mwanamme mwenye umri wa miaka 42 aliuawa, mkewe kujeruhiwa vibaya na binti yake wa miaka 14 kunajisiwa na majambazi kwenye shambulio katika ufuo wa Sori. Aidha wahalifu wamevunja ofisi kadhaa za serikali huko Macalder na mali kuibwa. Kamishna wa kaunti ya Migori Kisilu Mutua amesema polisi wanachunguza visa hivyo.
Wakazi kaunti ya Migori walalamikia uhalifu
- 19 Aug 2025 - Although the Ministry of Education assured that the adjustments had been finalized, most universities are still unable to provide clear details on the revised fees, leaving many students uncertain about how much they are required to pay as admissions…
- 19 Aug 2025 - Meeting for their first-ever joint parliamentary group session, MPs from the two rival parties agreed on an implementation matrix that sets clear timelines for the process.
- 19 Aug 2025 - The meeting, attended by President Ruto, his deputy Prof. Kithure Kindiki, and ODM leader Raila Odinga, was expected to foster unity between the two sides. Instead, it was dominated by heated exchanges over corruption allegations that have rocked both…
- 19 Aug 2025 - In a Gazette Notice dated August 18, Senate Speaker Amason Kingi announced that the session, scheduled for 2:30 p.m. at the Senate Chamber in Parliament Buildings, Nairobi, will begin with Nabwire's official oath-taking.
- 19 Aug 2025 - IM Bank eyes organic growth as half-year profit hits Sh11.7b
- 19 Aug 2025 - Confusion as SHA shuts all regional offices
- 19 Aug 2025 - Teachers' unions oppose Raila's proposal to devolve education
- 19 Aug 2025 - Cracks in Raila's party widen as Sifuna, Babu skip UDA-ODM talks
- 19 Aug 2025 - Renewed hope as Kenya eyes billions in mining
- 19 Aug 2025 - The economic inequality; can we close the gap?