- 92 views
Mwanafunzi mwenye ulemavu wa macho katika shule ya Vipofu ya Thika alipata matokeo bora na kuibuka miongoni mwa wanafunzi bora katika mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne mwaka 2024 uliotangazwa hivi majuzi baada ya kupata alama ya A katika mtihani huo. Wakati huo huo, Mohamed Abdikadir kutoka Shule ya Upili ya Eastleigh aliibuka na matokeo bora baada ya kupata alama ya A-, alama ya juu zaidi ambayo shule hiyo imepata katika kipindi cha miaka 8 iliyopita. Mwanahabari wetu Opicho Chemtai na taarifa kamili.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mwanafunzi mwenye ulemavu wa macho apata alama ya A kwenye KCSE
- - Duniani Leo ››
- 19 Aug 2025 - A man in Nakuru was found guilty of murder in a case where he attacked another man he found under his bed in a suspected love triangle.
- 19 Aug 2025 - The Chief Magistrate in Busia, Edna Nyaloti, has raised concerns over a growing influence of brokers she says are infiltrating the local court system, warning that the integrity of justice is at risk.
- 19 Aug 2025 - The victim, identified as Mzee Barack Ochuka, succumbed to injuries after he was attacked with crude weapons, sustaining severe wounds to the head, back, and arms.
- 19 Aug 2025 - Kathiani Constituency Member of Parliament (MP) Robert Mbui has revealed that extortion in Parliament is not a unique
- 19 Aug 2025 - There has been a wave of criticism from a section of lawyers.
- 19 Aug 2025 - The association urged vehicle owners to take immediate action.
- 19 Aug 2025 - MURANG’A, Kenya, Aug 19 – Kahuho Market in Murang’a County was the scene of a high-stakes operation on Monday night after the National Authority for the Campaign Against Alcohol and Drug Abuse (NACADA), working in collaboration with the Murang’a Police…
- 19 Aug 2025 - Governance expert Fred Ogola has raised concerns over former Prime Minister Raila Odinga’s push to have members of
- 19 Aug 2025 - A family should not have to rely on luck to get the care they have been promised and paid for.
- 19 Aug 2025 - Kingi urged all Senators to adhere to the notice.