Wakazi wa Gaza wakifurahia taarifa za mpango wa kusitisha mapigano
Umati wa watu huko Gaza na Israel umeonesha furaha na hisia mseto baada ya kutangazwa mpango wa kusitishwa kwa mapigano kati ya Israel na Hamas katika mazungumzo yaliyofanyika mji mkuu wa Qatar, Doha.
Mjini Washington, Rais Biden alisema awamu ya kwanza itawaruhusu Wapalestina kurejea nyumbani katika vitongoji vyao na kuruhusu misaada zaidi ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza.
Umati wa watu ulishangilia huko Gaza, huku Israeli ndugu wa mateka wanaoshikiliwa na Hamas wakikumbatiana mitaani.
#bbcswahili #Gaza #hamas
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
20 Jul 2025
- The youth used bodabodas and matatus to cruise through CBD.
20 Jul 2025
- Mwangi was arrested at his home.
20 Jul 2025
- Govt currently facing scrutiny over slow pace of implementing key pledges.
20 Jul 2025
- President William Ruto has called on parents to take greater responsibility for the upbringing of their children, warning that neither the government nor institutions like the church can replace the role of parenting.
20 Jul 2025
- Wiper Party leader Kalonzo Musyoka on Saturday rejected claims that he could be joining President William Ruto’s government, which he calls “rogue and criminal”.
20 Jul 2025
- Kaplong Girls High School in Bomet County has been closed indefinitely after students went on a rampage on Saturday night protesting alleged sexual harassment by a section of academic staff, among other grievances.
20 Jul 2025
- The youth used bodabodas and matatus to cruise through CBD.
20 Jul 2025
- A 10-year-old boy was rescued after being trapped in an air pocket in the upturned hull.
20 Jul 2025
- A series of powerful earthquakes struck off the coast of Russia's far east on Sunday, triggering a tsunami alert, the US Geological Survey said.
20 Jul 2025
- The Teachers Service Commission (TSC) has sounded the alarm over a rising wave of conmen posing as recruitment
20 Jul 2025
- AG's office is losing experienced lawyers and support staff to better-paying state institutions
20 Jul 2025
- Njanja Maina said the claims by the DCI are false and is a scheme to charge Mwangi with terrorism.
20 Jul 2025
- Mwangi was arrested at his home.