- 16 views
Wanachama wa kampuni inayomiliki shamba la Solai Ruyobei wameyoa wito kwa serikali kuwasaidia kumiliki shamba hilo la ekari elf-8 lililoko eneo la Oljorai huko Gilgil kaunti ya Nakuru. Zaidi ya wanachama hao-1,500 wanadai kuwa kundi la mamia ya watu linanuia kuwafurusha wale wanaoishi kwenye shamba hilo na kutwaa umiliki wa shamba hilo bila stakabadhi halisi. Musa Toroitich ambaye ni mwenyemiti wa kampuni ya Solai Ruyobei amesema kundi hilo linalojiita Lari Nyakinyua linasisitiza kuwa linamiliki shamba hilo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mgogoro wa ardhi : Serikali yatakiwa kuingilia kati
- - Duniani Leo ››
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - Four crew members of a cargo ship attacked and sunk by Yemeni rebels earlier this week are presumed dead, an EU naval force said Friday, with search operations ongoing in the Red Sea.
- 12 Jul 2025 - The Commission is under pressure to deliver on its constitutional mandate and rebuild public confidence.
- 12 Jul 2025 - The law emphasises that officers must first attempt peaceful methods such as verbal warnings.
- 12 Jul 2025 - The Senegalese government issued a warning of 'repercussions' against the organisers.
- 12 Jul 2025 - Dreams of 23-year-old man brutally cut short by a trigger-happy police officer.
- - Ndindi Nyoro: Government is to blame for the violence and deaths during the Saba Saba protests
- 12 Jul 2025 - Lawyer Pheroze Nowrojee: Legal luminary who fought for justice
- 12 Jul 2025 - Grief turns to outcry during slain hawker Boniface Kariuki's funeral
- 12 Jul 2025 - How goat feasts turn Maasai men into trusted family planning champions
- 12 Jul 2025 - PHOTOS: Kamba folk songs dominate Rift Valley Regional Music Festivals