- 1,710 viewsMawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekutana Ijumaa Februari 07, 2025 jijini Dar es Salaam, Tanzania, kujadili hali ya usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Katika hotuba zao, viongozi wa mkutano huo wameeleza kuwa hali ya usalama Mashariki mwa DRC bado ni tete, huku mashambulizi ya makundi ya waasi kama M23 yakisababisha vifo vya raia na walinda amani, pamoja na kuzorotesha hali ya kibinadamu. Wameeleza kuwa wanawake, watoto na watu wenye ulemavu ndiyo waathirika wakubwa wa mgogoro huu. Mawaziri hao wametoa wito kwa pande zote zinazohusika katika mgogoro wa DRC kuheshimu sheria za kimataifa, kulinda wanadiplomasia na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inawafikia wahitaji. Wameeleza kuwa njia pekee ya kuleta amani ya kudumu ni kupitia mazungumzo badala ya mapigano yasiyoisha. Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani #voaswahili #afrika #congo #drc #goma #m23 #sadc #eac #mawaziri #mamboyanje
Viongozi wa EAC na SADC waeleza hali ya usalama DRC bado tete
- 1 May 2025 - Ukraine expects to sign a much-anticipated minerals deal with the United States in "the next 24 hours", Prime Minister Denys Shmygal said Wednesday, as both sides finalised details.
- 1 May 2025 - Israeli Defence Minister Israel Katz ordered troops to deploy on Wednesday to support firefighters battling rapidly spreading wildfires near Jerusalem, calling the situation a "national emergency".
- 1 May 2025 - US President Donald Trump said Wednesday he was considering legal action against the New York Times, in his latest attack on a major media outlet.
- 1 May 2025 - The government is revving up revenue collection efforts with increased pursuit of businesses and the creative economy to meet its tax targets. It has warned that a significant number of companies in the country risk losing their registration permits,…
- 1 May 2025 - How workers are coping with widening wage, costs gap
- 1 May 2025 - Taking advantage of Labor Day to boost employee morale, organisational brand
- 1 May 2025 - VC with nine lives as Prof Paul Wainaina returns to KU
- 1 May 2025 - Workers suffer as Atwoli 'too young' to retire at 75
- 1 May 2025 - Intrigues on Gachagua's party and fate of allied MPs
- 1 May 2025 - Atwoli: A political wheeler-dealer disguised as the workers' defender