- 1,710 viewsMawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekutana Ijumaa Februari 07, 2025 jijini Dar es Salaam, Tanzania, kujadili hali ya usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Katika hotuba zao, viongozi wa mkutano huo wameeleza kuwa hali ya usalama Mashariki mwa DRC bado ni tete, huku mashambulizi ya makundi ya waasi kama M23 yakisababisha vifo vya raia na walinda amani, pamoja na kuzorotesha hali ya kibinadamu. Wameeleza kuwa wanawake, watoto na watu wenye ulemavu ndiyo waathirika wakubwa wa mgogoro huu. Mawaziri hao wametoa wito kwa pande zote zinazohusika katika mgogoro wa DRC kuheshimu sheria za kimataifa, kulinda wanadiplomasia na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inawafikia wahitaji. Wameeleza kuwa njia pekee ya kuleta amani ya kudumu ni kupitia mazungumzo badala ya mapigano yasiyoisha. Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani #voaswahili #afrika #congo #drc #goma #m23 #sadc #eac #mawaziri #mamboyanje
Viongozi wa EAC na SADC waeleza hali ya usalama DRC bado tete
- 3 Aug 2025 - Kakamega Senator Boni Khalwale has expressed disappointment over the closure of St Mary’s Mission Hospital in Mumias.
- 3 Aug 2025 - Gunmen kidnapped more than 50 people in northwest Nigeria in a mass abduction, according to a private conflict monitoring report created for the United Nations and seen by AFP on Sunday.
- 3 Aug 2025 - The DP said the ruling party will ensure the will of voters is captured and respected during the UDA primaries.
- 3 Aug 2025 - Orange Democratic Movement (ODM) Secretary-General Edwin Sifuna has declared that he will leave the party if it chooses to support President William Ruto's re-election bid in the 2027 general election.
- 3 Aug 2025 - Football fans stormed into Kasarani Stadium on Sunday afternoon after hours of waiting in queues ahead of the much anticipated African Nations Championship (CHAN 2024) match between Kenya and DR Congo.
- 3 Aug 2025 - Saudi Arabia has executed eight people in a single day, state media said, amid a surge in the use of the death penalty in the Gulf monarchy particularly over drug-related convictions.
- 3 Aug 2025 - Attendees of the event were urged to return the phone, to no avail.
- 3 Aug 2025 - Austin Odhiambo delivered the only goal of the game.
- 3 Aug 2025 - “Since I am the SG of the party, I will read all the resolutions from ODM, even if they insult me."
- 3 Aug 2025 - The goal was scored by Austin Odhiambo.