Skip to main content
Skip to main content

Mahakama ya Makandara yapunguza dhamana ya 5 waliokamatwa kwenye maandamano

  • | Citizen TV
    1,329 views
    Duration: 2:03
    Mahakama ya Makadara imepunguza dhamana ya washukiwa watano waliokamatwa wakati wa maandamano ya tarehe saba mwezi wa saba kutoka shilingi laki moja hadi shilingi elfu thelathini.