- 10 views
Shirika la utangazaji humu nchini-KBC na lile la habari la China, Xinhua yametia saini maafikiano yatakayofanikisha kutiwa saini kwa mkataba wa maelewano kuhusu ubia katika nyanja mbalimbali. Mkurugenzi mkuu wa KBC Agnes Kalekye amesema shirika hili linanuia kuimarisha sekta tatu muhimu ikiwemo kuboreshwa kwa vifaa vya kupeperusha matangazo, mafunzo ya kiteknolojia na ustawishaji wa mfumo wake wa kidijitali kupitia usaidizi wa shirika la habari la Xinhua. Kalekye aliyasema hayo alipopokea ujumbe kutoka shirika la Xinhua ukiongozwa na makamu wa rais wa shirika hilo duniani Yuan Bingzhong ambao walizuru jumba la utangazaji la KBC.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mashirika ya KBC na Xinhua yadhamiria kushirikiana
- - 🔴 TV47 LIVE ››
- - 2025 08 09 21 18 16 ››
- 10 Aug 2025 - India shot down five Pakistani fighter jets and one other military aircraft during clashes in May, India's air force chief said on Saturday, the first such statement by the country months after its worst military conflict in decades with its neighbour.
- 10 Aug 2025 - Haiti's former national palace security chief, Vladimir Paraison, was appointed national police chief by the country's transitional government on Friday, as the Caribbean nation looks to battle armed gangs that have displaced over a million people.
- 10 Aug 2025 - The commerce department has started issuing licenses to Nvidia to export its H20 chips to China, a U.S. official told Reuters on Friday, removing a significant hurdle to the AI bellwether's access to a key market.
- 10 Aug 2025 - Colombian president Gustavo Petro announced Friday the start of fresh talks with Clan del Golfo, the country's largest drug-trafficking gang and the world's largest producer of cocaine.
- 10 Aug 2025 - Which way to resolve late funds disbursement to counties?
- 10 Aug 2025 - NPS condemns mob justice, urges respect for human dignity and law
- 10 Aug 2025 - Three teens challenge blanket ban on sex between adolescents
- 10 Aug 2025 - DP Kindiki's national economic empowerment programme stirs debate
- 10 Aug 2025 - Pride is our nation's real pandemic and only humility can save leaders
- 10 Aug 2025 - 'Dr Aden' fears journos' questions more than a cold July morning