- 64 views
Chama cha matabibu humu nchini kimetangaza kurejelewa kwa mgomo wa kitaifa kuanzia usiku wa manane leo, ukitaja kuchelewa kwa serikali kutekeleza makubaliano yao ya kurejea kazini, ambayo yalitiwa sahihi mwezi Septemba mwaka jana. Matabibu hao wanashutumu Halmashauri ya Afya ya Kijamii kwa kukosa kutekeleza maazimio ya mkutano baina ya ya Wizara ya Afya na chama chao mnamo tarehe mwezi huu kuhusu kandarasi zao za utendakazi na ujumuishaji wao na vituo vya afya katika bima ya SHA. Mgomo huo umerejelewa baada ya ilani ya siku 21 kutamatika.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mgomo wa matabibu kuanza leo usiku wa manane
- - Uliza Daktari ››
- 20 Jul 2025 - Speaking after a Sunday Mass at Regina Caeli Catholic Church in Karen, presided over by Nairobi Archbishop Philip Anyolo, the leaders underscored their faith in the electoral process and the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC).
- 20 Jul 2025 - Israel's military disputed the death toll and said soldiers had fired warning shots "to remove an immediate threat posed to them" as thousands gathered near Gaza City.
- 20 Jul 2025 - The President dismissed claims that he had over-promised Kenyans, saying the pledges he made will be fully implemented and are raising the country’s ambition for transformation.
- 20 Jul 2025 - Rachel Booth, aged 38, disappeared in the early hours of Saturday.
- 20 Jul 2025 - Mumias East Member of Parliament (MP) Peter Salasya, who has declared his intention to run for the presidency
- 20 Jul 2025 - The Kenya Airports Authority (KAA) has issued a statement following a fire alarm incident at Jomo Kenyatta International
- 20 Jul 2025 - The key terminal was shut down on Sunday afternoon.
- 20 Jul 2025 - Outspoken lawyer and political analyst Willis Otieno has called out President William Ruto over his recent remarks on parenting.
- 20 Jul 2025 - Former Interior CS asks Kenyans in the US to support his quest to unseat Ruto.
- 20 Jul 2025 - Advocate Ndegwa Njiru has launched a scathing attack on President William Ruto following his recent donation at a Machakos church, where he handed over a brand-new Land Cruiser Prado along with Ksh20 million towards the church’s construction. In a post…