Homa ya Mapafu :Ugonjwa unaomsumbua Papa Francis
Hali ya kiafya ya kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis imeibua wasiwasi miongoni mwa waumini wa Kanisa hilo na baadhi ya watu wengine ulimwenguni baada ya kuelezewa na Vatican kuwa ''si nzuri'' kutokana kuugua ugonjwa wa homa ya mapafu (pneumonia) katika mapafu yake yote mawili.
-
Papa Francis, mwenye umri wa miaka 88 amekuwa akipitia maambukizi ya mfumo wa upumuaji kwa zaidi ya wiki moja na amekuwa akipatiwa matibabu katika hospitali ya Gemelli huko Roma.
Fahamu zaidi kuhusu tatizo la kiafya linalomsumbua?
-
-
#bbcswahili #papá #Afya #vatcan #kanisakatoliki #mapafuSubscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
15 Jul 2025
- The comedian passed away after a short illness.
15 Jul 2025
- This comes as pump prices hit a new high on July 14.
15 Jul 2025
- Court ordered Orwoba to pay Ksh10.5 million to Nyegenye for defamation.
16 Jul 2025
- Former Chief Justice David Maraga has revealed that he will rely on contributions from ordinary Kenyans from as little as Ksh.50 to fund his presidential bid.
16 Jul 2025
- The Kangundo Law Court in Machakos County was on Tuesday forced to adjourn and postpone the hearing of a kidnapping case involving four suspects after they refused to attend the session over poor sleeping conditions in the police cells.
16 Jul 2025
- Former CJ David Maraga has criticised the police over what he described as excessive and unjustified use of force during the recent Gen Z protest anniversary march, saying officers require urgent training on human rights standards.
16 Jul 2025
- A higher education crisis is brewing and for thousands of students from low-income families, a university dream may turn into a nightmare.
16 Jul 2025
- Kenya Airways is set to regain its long-haul strength as it prepares to return three grounded Dreamliners to service.
16 Jul 2025
- Chief Justice Martha Koome has pushed back against external interference and attacks on judicial officers by the political class.
16 Jul 2025
- Epra under fire over sharp rise in fuel prices
16 Jul 2025
- How police officers shot the son of senior cop
16 Jul 2025
- How ghost students and schools gobbled up Sh3.7b in capitation
16 Jul 2025
- Experts link protest violence to 2027 vote