- 975 viewsKutana na Pauline Mwaka, mwanamke mwenye umri wa miaka 28, anayekabiliana na changamoto ya mila ya zamani ya kuto mruhusu mwanamke kuingia kwenye uvuvi wa bahari kuu. Jamii yake ya pwani huko Kilifi, Kenya inaamini kuwa wanawake kujitosa majini huleta dalili mbaya na kusababisha ajali na masaibu kwa wavuvi wa kiume baharini. Lakini amedhamiria kwenda kinyume na dhana hiyo na ndiye mwanamke wa kwanza katika jamii yake kuthubutu. Anatumai safari yake haitabadilisha maisha yake tu bali pia itabadilisha maoni ya jamii yake kuhusu jukumu la wanawake. Katika mwaka ambao amekuwa akivua samaki, amewavutia wanawake wengine wawili kuungana naye baharini. ✍🏽: @ahmedbahajjofficial 🎥: @frankmavura Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Mvuvi mwanamke Kenya
- 1 May 2025 - KMPDU has called on the government to prioritise the welfare of healthcare workers, warning that continued neglect of doctors’ rights and hospital working conditions threatens the country’s health system.
- 1 May 2025 - President William Ruto has announced that pensions and gratuity payments for workers both in the private and public sectors will be tax-free beginning the next financial year.
- 1 May 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang'i is set to make his first public appearance this year in the Gusii region on Friday, May 2, 2025.
- 1 May 2025 - A Grade 2 pupil was on Wednesday evening swept away by floods in Milimani area, Nakuru County, after a heavy downpour led to severe flooding in several parts of the town.
- 1 May 2025 - Israel declared a national emergency as the largest wildfires in the country’s history continued to rage out of control. The Fire and Rescue Service’s Jerusalem District commander said firefighters had a long way to go before they could contain the…
- 1 May 2025 - Salasya said he will launch his presidential bid under a new political movement.
- 1 May 2025 - The three officers, all constables, were travelling in a white VW Polo when they went missing.
- 1 May 2025 - The MP abandoned his usual car after developing an instinct that his life was in danger.
- 1 May 2025 - The family of slain Kasipul Member of Parliament Charles On'gondo Were has shifted blame to the government following his assassination on Wednesday night in Nairobi.
- 1 May 2025 - Most counties did organise for public functions, and those who did had low-key attendance.