- 52 views
Watu watatu walifariki papo hapo na mwingine akajeruhiwa vibaya baada ya pikipiki walioabiri kugongana na lori katika eneo laGatugura kwenye barabara ya kutoka Kutus kuelekea Kimunye katika kaunti ya Kirinyaga.Kamanda wa polisi katika kaunti ndogo ya Kirinyaga Mashariki Johnson Wachira alisema lori hilo lilikuwa likielekea mjini Kutus kutoka Kimunye wakati lilipogonga pikipiki hiyo iliyokuwa imewabeba watu wanne wa umri mdogo. Wakazi waliogutushwa na ajali hiyo walisema watoto hao walitoka kijiji cha Kairegi na ni wanafunzi wa shule ya msingi ya Kimunye. Wakazi waliitaka serikali ya kaunti na ile ya taifa kuweka matuta kwenye barabara hiyo yenye shughuli nyingi pamoja na taa za barabarani ili kupunguza ajali. Mili ya waathiriwa ilipelekwa katika chumba cha kuhifadhi maiti cha hospitali ya Kerugoya.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Maafa barabarani : Watoto-3 wafariki Kirinyaga
- 20 Aug 2025 - The pledge took place in a bilateral meeting chaired by Health Cabinet Secretary Aden Duale and his Japanese counterpart Hon. Minoru Kiuchi who serves as the Minister of State for Health Care Policy on the sidelines of TICAD 9 (Tokyo International…
- 20 Aug 2025 - The event brought together representatives from Shabiki.com, tournament organizers, and members of the golfing community to formalize the partnership ahead of one of Kenya’s most anticipated golfing events.
- 20 Aug 2025 - Cooperatives and MSMEs Cabinet Secretary Wycliffe Oparanya and his Treasury counterpart John Mbadi have been ordered to appear before the Senate Committee on Labour and Social Welfare on Wednesday after failing to honour earlier summons.
- 20 Aug 2025 - The case, filed under Petition No. E530 of 2025, is led by Dr. Magare Gikenyi alongside Eliud Karanja Matindi, Philemon Abuga Nyakundi, and Dishon Keroti Mogire.
- 20 Aug 2025 - To address this, the Africa Group of Negotiators Experts Support (AGNES) has unveiled the first-ever Model Climate Change Law Framework for Africa, designed to guide countries in enacting or strengthening national climate legislation.
- 20 Aug 2025 - Former Jubilee Party Secretary General Raphael Tuju has resigned from the political outfit after serving in the position for six years.
- 20 Aug 2025 - According to Bomet County disaster management officer Stanley Mutai, the victims were harvesting fine sand from rocks that had recently rolled down a cliff when the ground gave way, trapping them inside.
- 20 Aug 2025 - The sector’s expansion has now stabilised to pre-pandemic levels.
- 20 Aug 2025 - Police in Garissa have intensified their crackdown on drug trafficking after officers arrested a person of interest in
- - More than 20 dead in fresh Pakistan monsoon rains