- 377 viewsMkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Amimza Cafe iliyoko Mkoa wa Kagera, Amiri Hamza, amesema kuwa bila maboresho ya sera, taifa litaendelea kushindwa kuongeza thamani ya mazao ya kilimo. Amesema hayo katika mkutano wa tatu uliowakutanishi viongozi wa nchi 25 wanaozalisha zao hilo barani Afrika kuanzia tarehe 21-22, Februari, katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere mjini Dar es Salaam, Tanzania. Mkutano huu umeandaliwa na serikali ya Tanzania. Hamza amehimiza serikali na wadau kushirikiana kurekebisha sheria ili kuwapa vijana fursa zaidi kwenye sekta ya kahawa. “kufikia 2030 vijana wataweza kunufaika na zao la kahawa kwa ajira na mengineyo Kama tukibadilisha kanuni na sheria za mfumo wa fedha nchini, tusipo badili tutaendelea kuangaika na kulalamika kuhusu kuongeza thamani ya mazao yetu ya kilimo,” amesema Hamza Ili kuhakikisha sekta ya kahawa inachangia ipasavyo katika uchumi wa Afrika viongozi wa nchi 25 wameazimia kuhamasisha matumizi ya kahawa ndani ya bara na kuongeza ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi. Pia wamependekeza kuanzishwa kwa vituo vya umahiri na utafiti wa kahawa. Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania. #tanzania #kahawa #amimzacafe #amirihamza #sera #serikali #voa #voaswahili #ushindani
Mdau aishauri serikali namna ya kuongeza thamani mazao ya kilimo
- 30 Apr 2025 - KMPDU has written to the University of Nairobi (UoN), demanding urgent measures to protect the welfare of medical registrars, who it says are being overworked and unfairly treated.
- 30 Apr 2025 - Two lovers have been arraigned in court in connection with the brutal murder and lynching of a 26-year-old woman in Likoni, Mombasa County.
- 30 Apr 2025 - Prof. Makau Mutua has landed a new job in the Kenya Kwanza administration, becoming the latest beneficiary of the broad-based government agreement between President William Ruto and former Prime Minister Raila Odinga.
- 30 Apr 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has directed that chiefs from five counties grappling with frequent livestock raids be registered and armed for self-defense.
- 30 Apr 2025 - A senior administrator in Gatundu South sub-county has died by suicide hours after going into hiding over allegations of sexually assaulting two underage boys on April 20, 2025.
- 30 Apr 2025 - Two suspects, a Kenyan and Somali national, were on Wednesday arraigned at the Makadara Law Courts for alleged involvement in human trafficking.
- 30 Apr 2025 - Just a month after ODM experienced violent incidents during grassroots elections in three Nyanza counties, resulting in several injuries and one fatality, the party’s Executive Director Oduor Ong’wen has fired a stern warning to perpetrators of the…
- 30 Apr 2025 - Detectives in Nairobi have arrested 11 suspects who defrauded a victim of Ksh.70.6 million (USD 546,000) in a fraudulent gold scheme.
- 30 Apr 2025 - Prof Mutua joins President Ruto's growing sea of advisers.
- 30 Apr 2025 - Kenya has been facing increased cases of suicide.