- 377 viewsMkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Amimza Cafe iliyoko Mkoa wa Kagera, Amiri Hamza, amesema kuwa bila maboresho ya sera, taifa litaendelea kushindwa kuongeza thamani ya mazao ya kilimo. Amesema hayo katika mkutano wa tatu uliowakutanishi viongozi wa nchi 25 wanaozalisha zao hilo barani Afrika kuanzia tarehe 21-22, Februari, katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere mjini Dar es Salaam, Tanzania. Mkutano huu umeandaliwa na serikali ya Tanzania. Hamza amehimiza serikali na wadau kushirikiana kurekebisha sheria ili kuwapa vijana fursa zaidi kwenye sekta ya kahawa. “kufikia 2030 vijana wataweza kunufaika na zao la kahawa kwa ajira na mengineyo Kama tukibadilisha kanuni na sheria za mfumo wa fedha nchini, tusipo badili tutaendelea kuangaika na kulalamika kuhusu kuongeza thamani ya mazao yetu ya kilimo,” amesema Hamza Ili kuhakikisha sekta ya kahawa inachangia ipasavyo katika uchumi wa Afrika viongozi wa nchi 25 wameazimia kuhamasisha matumizi ya kahawa ndani ya bara na kuongeza ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi. Pia wamependekeza kuanzishwa kwa vituo vya umahiri na utafiti wa kahawa. Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania. #tanzania #kahawa #amimzacafe #amirihamza #sera #serikali #voa #voaswahili #ushindani
Mdau aishauri serikali namna ya kuongeza thamani mazao ya kilimo
- - Duniani Leo ››
- - Local news roundup ››
- 16 Jun 2025 - Residents of Elgeyo Marakwet County are raising alarm over a growing shortage of condoms, a situation that has been blamed for a spike in new HIV infections. According to Professor Sylvester Kimaiyo, Chief of Party at the Academic Model Providing Access…
- 16 Jun 2025 - Rescue operations are ongoing in the Kambi Karaya area of West Pokot County following the collapse of a gold mine. According to police reports, one body has been recovered, while several others remain unaccounted for. The incident was reported at Marich…
- 16 Jun 2025 - Official says Iran appealed to Oman and Qatar to engage the US to broker a ceasefire.
- 16 Jun 2025 - The Iranian death toll in four days of Israeli strikes had reached at least 224, with 90 per cent of the casualties reported to be civilians.
- 16 Jun 2025 - Assassination of Kasipul MP Ong’ondo Were, death of teacher Albert Ojwang’ and ODM’s internal rebellion have shaken the foundation of Ruto-Raila pact.
- 16 Jun 2025 - More than 100,000 small businesses across the country will benefit from a KSh5 billion grant to boost the enterprises, President William Ruto has announced. The President said the government, in partnership with the World Bank, will provide KSh50,000 to…
- 16 Jun 2025 - Many investigations into police killings in Nakuru have stalled, allegedly due to interference or lack of political will.
- 16 Jun 2025 - President Ruto has accused opposition politicians of lacking a national development agenda.
- 16 Jun 2025 - Manufacturers warn new rules on alcohol will hurt production
- 16 Jun 2025 - The silent STI threat: Why unseen infections are a growing concern