- 36 views
Katibu katika idara ya utangazaji na mawasiliano Profesa Edward Kisiang’ani amewahakikishia wakenya kuwa uhuru wao wa kujieleza hautahujumiwa kupitia marekebisho ya sheria ya uhalifu wa mitandaoni. Kisiangani aliyefika mbele ya kamati ya bunge inayoshughulikia marekebisho ya muswada wa mawasiliano na habari kuhusiana na matumizi potovu ya kompyuta pamoja na uhalifu wa mitandaoni, aliondoa wasiwasi kwamba kurejelewa kwa sheria ya usalama wa mitandao ni hatua ya dharura ya kukabiliana na ukosoaji wa serikali mitandaoni.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kisiangani: Serikali haitaingilia uhuru wa kujieleza mitandaoni
- - Duniani Leo ››
- 21 Aug 2025 - Nitpickers say that all the man does is find what his pacesetters are up to and he follows suit swiftly.
- 21 Aug 2025 - The move now locks out 11,919 former councillors, who have been pushing for the benefits.
- 21 Aug 2025 - The lawmakers have mandated that state can only offer up to 65% of KPC shares to the public through NSE.
- 21 Aug 2025 - Gachagua’s remarks abroad have set off alarm bells within the administration.
- 21 Aug 2025 - Kenyan healthcare system faces numerous challenges, including a shortage of skilled personnel, high patient volumes.
- 21 Aug 2025 - Maraga said his decision to run was motivated by what he described as a looming national crisis.
- 21 Aug 2025 - "He is expected to arrive at the JKIA at exactly 12pm. Thereafter, he will proceed on a greet the people tour towards the Nairobi's CBD," read a statement from DCP.
- 21 Aug 2025 - Many couples are tempted to share every detail of their lives in the current digital era, particularly on
- 21 Aug 2025 - Kenyan gospel artist and philanthropist Karangu Muraya and his first wife, Triza Njeri, are still in the spotlight
- 21 Aug 2025 - The Israeli military said it killed 10 Hamas militants in Gaza on Wednesday while repelling an attack by the armed wing of the Islamist group, which claimed it killed several Israeli soldiers.