- 8 views
Zaidi ya mabaraza 20 ya wazee kutoka jamii mbalimbali za humu nchini yameshirikiana kubuni chama cha kitaifa cha mabaraza ya wazee .Vuguvugu hilo kwa jina Mapatano linanuia kuimarisha umoja na kuhimiza uwiano miongoni mwa jamii za humu nchini . Wakiongea wakati wa kutawazwa kwa mwenyekiti wa kitaifa wa vuguvugu la mapatano , wazee hao waliidhinisha kanuni zitakazowaongoza wakisema kuwa lengo kuu la vuguvugu hilo ni kudumisha amani , mshikamano na utangamano wa jamii za humu nchini .
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Vuguvugu la mabaraza ya wazee wa jamii labuniwa
- - Kenya's gold 2 ››
- - Kenya's gold 1 ››
- 21 Aug 2025 - The Elimu Bora Working Group is demanding that President William Ruto make public the report and recommendations of the presidential working party on education reform.
- 21 Aug 2025 - Public Service Ministry Unveils Bold Reforms, Eyes Future-Ready Civil Service
- 21 Aug 2025 - Hundreds of households have been displaced by the floods.
- 21 Aug 2025 - Non-compliant businesses are at risk of fines of up to Ksh4 million, or imprisonment for one to two years.
- 21 Aug 2025 - Motorists have been made aware of traffic measures put in place to ensure seamless movement of fans and emergency services.
- 21 Aug 2025 - The woman was added to the FBI's "10 Most Wanted" list in 2023
- 21 Aug 2025 - Following the notice, the employees have less than three months to prepare.
- 21 Aug 2025 - Ms Salim transferred property to Petro Soko to secure funds on her behalf.
- 21 Aug 2025 - Ruling comes after prosecution requested extra time to review Boniface Mwangi’s devices
- 21 Aug 2025 - Kisii School crowned East Africa rugby 15s champions