- 29 views
Wenye pikipiki katika kaunti ndogo ya Malindi wanaitaka serikali kuidhinisha kuwekwa kwa vifaa vya kufuatilia pikipiki zao hata baada ya kumaliza kulipa mikopo ya kuzinunua. Mwenyekiti wa chama wenye bodaboda katika eneo la Malindi, John Brandon Nzai amesema hatua hiyo itasaidia kupunguza wizi wa pikipiki ambao umepungua kwa asilimia 80 kufuatia kuwekwa kwa vifaa hivyo mbali na kuimarisha usalama kwa jumla. Hali kadhalika wanabodaboda wanaitaka serikali kubuni sera ambazo zitafanikisha uwekaji vifaa vya kudumu vya ufuatiliaji wa pikipiki. Walisema haya wakati wa hafla iliyoandaliwa na kampuni ya mikopo ya Watu na shirika la NTSA ambapo waendeshaji pikipiki 2000 walipata vyeti vya umiliki wa pikipiki zao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wenye pikipiki wakadiria kuweka vifaa vya ufuatiliaji
- - Kenya's gold 2 ››
- - Kenya's gold 1 ››
- 21 Aug 2025 - The Elimu Bora Working Group is demanding that President William Ruto make public the report and recommendations of the presidential working party on education reform.
- 21 Aug 2025 - Public Service Ministry Unveils Bold Reforms, Eyes Future-Ready Civil Service
- 21 Aug 2025 - Hundreds of households have been displaced by the floods.
- 21 Aug 2025 - Non-compliant businesses are at risk of fines of up to Ksh4 million, or imprisonment for one to two years.
- 21 Aug 2025 - Motorists have been made aware of traffic measures put in place to ensure seamless movement of fans and emergency services.
- 21 Aug 2025 - The woman was added to the FBI's "10 Most Wanted" list in 2023
- 21 Aug 2025 - Following the notice, the employees have less than three months to prepare.
- 21 Aug 2025 - Ms Salim transferred property to Petro Soko to secure funds on her behalf.
- 21 Aug 2025 - Ruling comes after prosecution requested extra time to review Boniface Mwangi’s devices
- 21 Aug 2025 - Why Education CS is under fire over under funding, corruption in Schools