- 13 views
Bunge la kaunti ya Nyamira limeanza rasmi vikao vyake baada ya likizo ya miezi mitatau kufuatia utata ulioghubika kungátuliwa mamlakani kwa spika wa bunge hilo Enock Okero. Okero ambaye alirejeshwa mamlakani na mahakama amehusisha kuahirishwa kwa vikao vya bunge na vurugu iliyoshuhudiwa mnamo tarehe 8 mwezi Oktoba mwaka jana. Aliangazia bajeti ya kaunti na mwongozo wa bajeti ya serikali ya kaunti kama masula yatakayopewa kipaumbele katika bunge hilo na akawahakikishia wakazi kuwa utoaji huduma ,ambao ulikuwa umevurugwa na malumbano ya kisiasa , utaendelea bila matatizo
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Bunge nyamira : Vikao vyarejelewa
- - Kenya's gold 2 ››
- - Kenya's gold 1 ››
- 21 Aug 2025 - The Elimu Bora Working Group is demanding that President William Ruto make public the report and recommendations of the presidential working party on education reform.
- 21 Aug 2025 - Public Service Ministry Unveils Bold Reforms, Eyes Future-Ready Civil Service
- 21 Aug 2025 - Hundreds of households have been displaced by the floods.
- 21 Aug 2025 - Non-compliant businesses are at risk of fines of up to Ksh4 million, or imprisonment for one to two years.
- 21 Aug 2025 - Motorists have been made aware of traffic measures put in place to ensure seamless movement of fans and emergency services.
- 21 Aug 2025 - The woman was added to the FBI's "10 Most Wanted" list in 2023
- 21 Aug 2025 - Following the notice, the employees have less than three months to prepare.
- 21 Aug 2025 - Ruling comes after prosecution requested extra time to review Boniface Mwangi’s devices
- 21 Aug 2025 - Regular tickets go for Sh 8,000, VIP tickets for Sh 15,000, while the Platinum experience is available through reservations via +254 700 114 111 or email [email protected].
- 21 Aug 2025 - Instead of proceeding to Kamukunji, his allies, led by Nyandarua Senator John Methu, took the stage, with Methu issuing a fiery warning to President William Ruto.