- 3,707 views
Zaidi ya watu mia mbili wanaoishi katika vijiji vitatu eneo la Mugirango Kusini kaunti ya Kisii wanaugua ugonjwa ambao maafisa wa afya wameshindwa kuutambua kufikia sasa. Wakazi hao wanalalamikia maumivu makali ya kichwa, kuharisha damu, kutetemeka na dalili zinginezo. Maafisa wa wizara ya afya wamepiga kambi katika mpaka wa Kisii na Migori kutathmini hali na kuchukua sampuli za wagonjwa kwa uchunguzi wa kina. CHRISPINE OTIENO amerejea kutoka eneo hilo na sasa anatuchorea taswira kamili ya hali ilivyo.
Watu zaidi ya mia mbili waathirika na ugonjwa usioeleweka Mugirango Kusini, Kisii
- 22 Aug 2025 - Interior Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has shed light on how the government secured the release of the
- 22 Aug 2025 - Scores were injured as former deputy president Rigathi Gachagua's supporters clashed with armed goons who attempted to disrupt the procession from JKIA.
- 22 Aug 2025 - The Interior Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has called on Members of Parliament to embrace transparency in the
- 22 Aug 2025 - The People’s Liberation Party (PLP) leader, Martha Karua, has questioned the huge sums of money splashed in churches by
- 22 Aug 2025 - Safaricom unveils time-based internet bundles
- 22 Aug 2025 - CBK to monitor bank customers' transactions in real-time after system upgrade
- 22 Aug 2025 - Walking in the rain at AG's chambers, looking for proof of 'return of seal'
- 22 Aug 2025 - Why Ruto wanted the anti-laundering Bill
- 22 Aug 2025 - Rashid trial: Teens shot 10 times, says pathologist
- 22 Aug 2025 - A charged return: Gachagua's frenzied homecoming to violent ambush on city highway