- 771 views- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
Wakazi wa mji wa Sake huko DRC waliporejea katika makazi yao
- - Kenya's gold part 2 ››
- - Kenya's gold part 1 ››
- 11 Aug 2025 - Kenya and the U.S. state of California are strengthening cooperation in technology, climate innovation, and sustainable development, President William Ruto announced on Monday.
- 11 Aug 2025 - Fresh fighting between the Somali government and forces loyal to the semi-autonomous southern Jubaland region killed at least two Somali soldiers on Monday, the defence ministry said.
- 11 Aug 2025 - Justice Bahati Mwamuye issued the directive after lawyer Kibe Mungai, representing the petitioner, informed the court that the DPP had yet to file his response, stalling progress in the case.
- 11 Aug 2025 - Police in Kilifi County say they have discovered seven shallow graves with human bones and skulls at Kwa Binzaro village.
- 11 Aug 2025 - The Nairobi Hospital on Monday announced it had suspended the implementation of its recently announced price adjustments following a meeting with medical insurance providers.
- 11 Aug 2025 - Mobile phone ownership in Kenya has risen from 47.3% in 2019 to 53.7% in 2024 as internet usage also increased nationally from 22.7 per cent in 2019 to 35.0 per cent in 2024.
- 11 Aug 2025 - Special trade agreements between Kenya and the UK allow the export of both goods and labour, and it is unclear what impact the changes will have.
- 11 Aug 2025 - The President said Kenya and the United States enjoy strong national and sub-national ties, with California.
- » Ojwang murder: DIG Lagat moves to block murder case He says the court has no authority to force the DPP to charge him. News 38 min ago Listen, Ojwang murder: DIG Lagat moves to block murder case News 38 min ago Listen- Ojwang murder: DIG Lagat moves to block murder case He says the court has no authority to force the DPP to charge him. News 38 min ago Listen, Ojwang murder: DIG Lagat moves to block murder case News 38 min ago Listen
- 11 Aug 2025 - This comes a day after the case was reported at the Capitol Hill Police Station.