- 2,655 viewsMwandishi wa Habari wa VOA Misha Komadovsky alirekodi malumbano makali kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy wakiwa Ofisi ya Oval, White House Februari 28, 2025. Mkutano wa White House kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ulikuwa na lengo la kufikia makubaliano ya kuiruhusu Marekani fursa ya kupata madini adimu na uligeuka malumbano makali kati ya viongozi hao na Trump alimueleza Zelenskyy, “ Ama utafikia makubaliano au sisi tunajitoa.” Katika taarifa kwenye mitandao ya kijamii baada ya mkutano huo, Trump aliashiria kuwa pendekezo la makubaliano limevunjika. “Nimegundua kuwa Rais Zelenskyy hayuko tayari kwa amani iwapo Marekani itahusishwa kwa sababu anahisi ushiriki wetu unampa fursa kubwa katika mashauriano,” Trump aliandika. Kufuatia ziara hiyo, Zelenskyy alibandika katika mtandao wa X: “Ahsante Marekani, nashukuru kwa msaada wenu, ahsante kwa ziara hii. Ahsante @POTUS. Bunge la Marekani, na watu wa Marekani. Ukraine inahitaji amani ya kudumu, na sisi tunalihangaikia hilo.” #trump #zelenskyy #ukraine #russia #voa
Nini kilitokea katika mkutano wa Rais Trump na Zelenskyy?
- - Kenya's gold part 2 ››
- - Kenya's gold part 1 ››
- 11 Aug 2025 - Kenya and the U.S. state of California are strengthening cooperation in technology, climate innovation, and sustainable development, President William Ruto announced on Monday.
- 11 Aug 2025 - Fresh fighting between the Somali government and forces loyal to the semi-autonomous southern Jubaland region killed at least two Somali soldiers on Monday, the defence ministry said.
- 11 Aug 2025 - Justice Bahati Mwamuye issued the directive after lawyer Kibe Mungai, representing the petitioner, informed the court that the DPP had yet to file his response, stalling progress in the case.
- 11 Aug 2025 - Police in Kilifi County say they have discovered seven shallow graves with human bones and skulls at Kwa Binzaro village.
- 11 Aug 2025 - The Nairobi Hospital on Monday announced it had suspended the implementation of its recently announced price adjustments following a meeting with medical insurance providers.
- 11 Aug 2025 - Mobile phone ownership in Kenya has risen from 47.3% in 2019 to 53.7% in 2024 as internet usage also increased nationally from 22.7 per cent in 2019 to 35.0 per cent in 2024.
- 11 Aug 2025 - Special trade agreements between Kenya and the UK allow the export of both goods and labour, and it is unclear what impact the changes will have.
- 11 Aug 2025 - The President said Kenya and the United States enjoy strong national and sub-national ties, with California.
- » Ojwang murder: DIG Lagat moves to block murder case He says the court has no authority to force the DPP to charge him. News 38 min ago Listen, Ojwang murder: DIG Lagat moves to block murder case News 38 min ago Listen- Ojwang murder: DIG Lagat moves to block murder case He says the court has no authority to force the DPP to charge him. News 38 min ago Listen, Ojwang murder: DIG Lagat moves to block murder case News 38 min ago Listen
- 11 Aug 2025 - This comes a day after the case was reported at the Capitol Hill Police Station.