Makamu Rais Vance ahojiwa iwapo kukata msaada kwa Ukraine kunaipa nguvu Russia?
Baada ya mkutano wa Ijumaa iliyopita kati ya Rais Donald Trump na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy ambao uligeuka malumbano makali, na Rais Tump kusitisha kwa muda misaada ya kijeshi kwenda Ukraine, Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance ameweka wazi msimamo wa Marekani kuhusu kumaliza vita vya miaka mitatu kati ya Russia na Ukraine.
Katika mahojiano na VOA, JD Vance aliulizwa ikiwa kusimamisha misaada kwa Ukraine kunaipa fursa nzuri Russia.
Vance amesema lengo la Rais Donald Trump kuhusu sera ya Marekani kwa Ukraine ni kuwaleta raia wa nchi hiyo kwenye meza ya mazungumzo.
Amesema wanataka Waukraine wawe na nchi inayojitawala na huru, akiongeza kuwa majeshi ya Ukraine yamepigana kwa ujasiri mkubwa, lakini wamefikia mahali ambako si Ulaya wala Marekani ambao wanaweza kuendeleza vita hivyo bila ya ukomo.
Ima kuhusu iwapo Marekani inaweza kufikia makubaliano ya madini na Ukraine wakati huu, Vance amesema ana imani makubaliano hayo yanaweza kufikiwa.
“Nafikiri Rais Trump bado ana azma ya kufikia makubaliano ya madini, na makubaliano hayo ni sehemu muhimu sana ya sera yake.”
Vance ameendelea kusisitiza kwamba wananchi wa Marekani wanastahili malipo kidogo ya uwekezaji mkubwa wa kifedha uliofanywa kwa Ukraine.
Kuhusu madai kwamba Marekani inaiwekea shinikizo kubwa Ukraine kuliko Russia na kwamba watu wanaweza kutarajia vikwazo zaidi vya Marekani dhidi ya Russia:
Makamu wa Rais Vance amesema halitakuwa jambo sahihi, akisema wanaamini msimamo wa Rais Trump ni kwa maslahi ya Russia, lakini pia kwa maslahi ya Ukraine na kwa maslahi mazuri ya Marekani kumaliza mgogoro huo.
#trump #zelenskyy #ukraine #russia #voa #makamurais #jdvance #msaada
30 Apr 2025
- Suspects of different nationalities came together to defraud victims.
30 Apr 2025
- Ruto's surprise appearance at the Vatican despite sending Wetangula caused a buzz online.
30 Apr 2025
- The MCA is part of the numerous residents that have been the latest targets.
30 Apr 2025
- Kenya’s revised foreign policy is designed to address the interests of citizens and reposition Kenya's foreign engagements on the dynamic global landscape, Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has said.
30 Apr 2025
- President William Ruto’s State Visit to China saw more than 20 trade agreements and memoranda of understanding signed, that aim at improving various sectors of the economy.
30 Apr 2025
- The Climate Reality Project, a climate-focused nonprofit founded by former U.S. Vice President Al Gore, is set to host an in-person training event in Nairobi in June.
30 Apr 2025
- President William Ruto has praised the increased contributions to the National Social Security Fund (NSSF) as a step toward the country’s financial security.
30 Apr 2025
- Hungary's Foreign Minister presented a bill to the National Assembly proposing Hungary's formal withdrawal from the ICC.
30 Apr 2025
- Suspects of different nationalities came together to defraud victims.
30 Apr 2025
- According to the University’s Vice Chancellor Prof Deogratius Jaganyi, the program dubbed as Africa meets Bavaria, is aimed at fostering a vibrant research culture among students.
30 Apr 2025
- Ruto congratulated Chitunga and assured him of government support.
30 Apr 2025
- Ruto's surprise appearance at the Vatican despite sending Wetangula caused a buzz online.
30 Apr 2025
- According to lawmakers, while the volume of money staked by punters has been steadily rising,reflected in a sharp increase in excise duty collections, taxes from winnings have paradoxically declined.