Laura Seethal atoa kibao chake kipya Push 2 Start remix
Mwanamuziki maarufu Laura Seethal al maarufu Tyla ametoa wiki hii, video ya wimbo wake mpya Push 2 Start remix akimshirikisha msanii nguli wa dancehall wa Jamaica Sean Paul.
Wimbo huo mpya kutolewa unatokana na mfululizo wa albamu ndefu ya kwanza ya mwnamuziki huyu kinda mwenye umri wa miaka 23, iitwayi Tyla, ambayo ilitolewa Oktoba 2024.
Mwanamuziki huyo mzaliwa wa Afrika Kusini alipata mafanikio wakati wimbo wake single amapiano Water ulipotamba kwenye TikTok. Wimbo huo ulishika nafasi ya saba kwenye Billboard Hot 100 ya Marekani na kuingia katika nyombo za juu 5 nchini Uingereza, na kumfanya kuwa msanii wa kike aliyeshika chati nyingi zaidi katika historia ya Afrika.
Februari 19, ilitangazwa kuwa mwimbaji huyo wa Truth or Dare alikuwa msanii wa kwanza wa Kiafrika kupata kuangaliwa mara bilioni moja kwenye Spotify kwa wimbo wake uliotamba wa Water.
Pia alishinda tuzo ya uzinduzi ya uchezaji bora wa muziki wa Kiafrika katika Grammys kwa wimbo huo.
#mwanamuziki #lauraseethal #tyla #push2startremix #voa #voaswahili #burudani
5 Aug 2025
- The TikToker is currently under police custody, awaiting arraignment.
5 Aug 2025
- The report had claimed the Fund was losing millions daily.
5 Aug 2025
- Police have since launched investigations into the accident.
5 Aug 2025
- A Brazilian judge on Monday placed former president Jair Bolsonaro under house arrest for breaking a social media ban, escalating a dramatic standoff between the court and the politician, who is accused of plotting a coup.
5 Aug 2025
- The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has apprehended Tiktoker Shedrack Omondi Okindo, alias Hon. Mosquito, in connection with an inciting video that was widely circulated on TikTok.
5 Aug 2025
- The U.S. could require bonds of up to $15,000 (approximately Ksh.1,938,150 for some tourist and business visas under a pilot program launching in two weeks, a government notice said on Monday, an effort that aims to crack down on visitors who overstay…
5 Aug 2025
- A five-day specialized training course titled "Countering Terrorism Financing and Money Laundering - Foundational Level" begun in Nairobi on Monday.
5 Aug 2025
- Before joining President William Ruto's cabinet on April 17, 2025, Geoffrey Ruku was a needle in the political haystack, but since he joined Cabinet, he has become one of the most visible figure with his tough enforcement of the the law by civil servants.
5 Aug 2025
- Hundreds of thousands of people under siege in the Sudanese army's last holdout in the western Darfur region are running out of food and coming under constant artillery and drone barrages, while those who flee risk cholera and violent attacks.
5 Aug 2025
- The United States and Rwanda have agreed for the African country to accept up to 250 migrants deported from the U.S., the spokesperson for the Rwandan government and an official told Reuters, as President Donald Trump's administration takes a hardline…
5 Aug 2025
- The TikToker is currently under police custody, awaiting arraignment.
5 Aug 2025
- Report says the initiative has failed to deliver on its mission of empowering citizens.
5 Aug 2025
- The report had claimed the Fund was losing millions daily.