Marekani yataka madini ili kuisaidia DRC kupamba na M23
Waasi wa M23 huko DRC wanaendelea kuteka maeneo zaidi mashariki mwa taifa hilo na kukaribia eneo jingine lenye utajiri wa madini. Haya yanajiri huku kukiwa na ripoti kwamba Marekani inafanya mazungumzo na serikali ya DRC kuhusu kuipa DRC msaada wa kijeshi na kisha Marekani kupata fursa ya kuchimba madini muhimu kutoka nchini humo. Nchi hiyo ina utajiri wa madini mengi kama kobalti, lithium, dhahabu na uranium na inaonekana hii inaweza kuvutia utawala mpya wa Trump ambao unaripotiwa kuwa wazi kufanya makubaliano, sawa na yale yanayopendekezwa kwa taifa la Ukraine.
5 Aug 2025
- The feature is set to revolutionalise how the messaging platform works.
5 Aug 2025
- The products have grown in popularity among women.
5 Aug 2025
- Details required to register a car in Kenya.
6 Aug 2025
- Busia Senator Okiya Omtatah has outlined a bold vision for Kenya should he clinch the presidency in the 2027 General Election.
6 Aug 2025
- Busia Senator Okiya Omtatah has launched a scathing attack against President William Ruto, questioning his integrity, and suitability to hold public office.
6 Aug 2025
- Firebrand Busia Senator and 2027 presidential hopeful Okiya Omtatah has declared his net worth to be in the range of Ksh.100 million to Ksh.200 million.
6 Aug 2025
- A section of Members of Parliament allied to the Kenya Kwanza administration have strongly rejected a report by the Kenya Human Rights Commission (KHRC) that called for the scrapping of the Hustler Fund.
6 Aug 2025
- A 14-year-old who was on the verge of being married off in Kajiado County was rescued, amidst rising concerns of early child marriages during the school holiday season.
6 Aug 2025
- MPs threaten to impeach Mbadi, PS for 'contempt'
6 Aug 2025
- If he stabilises the economy, 2027 election will be Ruto's to lose
6 Aug 2025
- Why we should start thinking twice before having children
6 Aug 2025
- Audit exposes Sh9.4b hole in e-Citizen, shows millions paid in illegal charges
6 Aug 2025
- Six Kenyans sue polls agency for blocking petitions to recall MPs