Zaidi ya watoto 400 wenye umri miaka 14 waandikishwa na watendaji wenye silaha
Zaidi ya Watoto 400 mashariki mwa DRC waliandikishwa na watendaji wenye silaha Januari na February mwaka huu huku wengine wakiwa na umri wa miaka 14 na wengine walichukuliwa kutoka kwenye shule na mitaani na kuwekwa katika hatari ya ghasia , shirika la save the children limesema na kunukuu katika tovuti yake.
Wafanyakazi wa ndani wa save the children walioko katika ulinzi wa Watoto kaskazini na kusini mwa jimbo la Kivu waliandika kesi mpya zaidi ya 400 kukiwa na makundi yenye silaha baina ya mwezi January na February mwaka 2025, wakati ghasia zilizozuka mashariki mwa nchi.
Baadhi ya watoto wanaripotiwa kuchukuliwa kutoka kwenye jumuiya zao na kupelekwa kwenye misitu kwa ajili ya kupatiwa mafunzo jinsi ya kutumia silaha bila matakwa yao.
Save the children inatoa msaada kwa watoto ambao wameachiliwa kutoka makundi yenye silaha . Mwaka 2024 kundi hilo lilisaidia takriban watoto 220 ambao awali walijihusisha na makundi yenye silaha katika majimbo ya Ituri , Kivu kaskazini na Kivu Kusini.
Watoto hawa wanapatiwa mafunzo ya kisaikolojia na msaada wa kiuchumi kwa ajili ya kuwawezesha kurejea kwenye jumuiya zao.
#watoto #silaha #drc #savethechildren #vita #jumuiya #familia #mafunzo #voa #voaswahili
30 Apr 2025
- Suspects of different nationalities came together to defraud victims.
30 Apr 2025
- Ruto's surprise appearance at the Vatican despite sending Wetangula caused a buzz online.
30 Apr 2025
- The MCA is part of the numerous residents that have been the latest targets.
30 Apr 2025
- Kenya’s revised foreign policy is designed to address the interests of citizens and reposition Kenya's foreign engagements on the dynamic global landscape, Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has said.
30 Apr 2025
- President William Ruto’s State Visit to China saw more than 20 trade agreements and memoranda of understanding signed, that aim at improving various sectors of the economy.
30 Apr 2025
- The Climate Reality Project, a climate-focused nonprofit founded by former U.S. Vice President Al Gore, is set to host an in-person training event in Nairobi in June.
30 Apr 2025
- President William Ruto has praised the increased contributions to the National Social Security Fund (NSSF) as a step toward the country’s financial security.
30 Apr 2025
- Hungary's Foreign Minister presented a bill to the National Assembly proposing Hungary's formal withdrawal from the ICC.
30 Apr 2025
- Suspects of different nationalities came together to defraud victims.
30 Apr 2025
- According to the University’s Vice Chancellor Prof Deogratius Jaganyi, the program dubbed as Africa meets Bavaria, is aimed at fostering a vibrant research culture among students.
30 Apr 2025
- Ruto congratulated Chitunga and assured him of government support.
30 Apr 2025
- Ruto's surprise appearance at the Vatican despite sending Wetangula caused a buzz online.
30 Apr 2025
- According to lawmakers, while the volume of money staked by punters has been steadily rising,reflected in a sharp increase in excise duty collections, taxes from winnings have paradoxically declined.