Zaidi ya watoto 400 wenye umri miaka 14 waandikishwa na watendaji wenye silaha
Zaidi ya Watoto 400 mashariki mwa DRC waliandikishwa na watendaji wenye silaha Januari na February mwaka huu huku wengine wakiwa na umri wa miaka 14 na wengine walichukuliwa kutoka kwenye shule na mitaani na kuwekwa katika hatari ya ghasia , shirika la save the children limesema na kunukuu katika tovuti yake.
Wafanyakazi wa ndani wa save the children walioko katika ulinzi wa Watoto kaskazini na kusini mwa jimbo la Kivu waliandika kesi mpya zaidi ya 400 kukiwa na makundi yenye silaha baina ya mwezi January na February mwaka 2025, wakati ghasia zilizozuka mashariki mwa nchi.
Baadhi ya watoto wanaripotiwa kuchukuliwa kutoka kwenye jumuiya zao na kupelekwa kwenye misitu kwa ajili ya kupatiwa mafunzo jinsi ya kutumia silaha bila matakwa yao.
Save the children inatoa msaada kwa watoto ambao wameachiliwa kutoka makundi yenye silaha . Mwaka 2024 kundi hilo lilisaidia takriban watoto 220 ambao awali walijihusisha na makundi yenye silaha katika majimbo ya Ituri , Kivu kaskazini na Kivu Kusini.
Watoto hawa wanapatiwa mafunzo ya kisaikolojia na msaada wa kiuchumi kwa ajili ya kuwawezesha kurejea kwenye jumuiya zao.
#watoto #silaha #drc #savethechildren #vita #jumuiya #familia #mafunzo #voa #voaswahili
15 Jun 2025
- Complications emerged with the protocol of official functions during Ruto and Gachagua's tenure.
15 Jun 2025
- For some people, being alongside trickling water masses initiates the urge.
15 Jun 2025
- The president also issued a warning to other contractors.
15 Jun 2025
- In a statement posted on his official X account on Sunday, Kindiki acknowledged Kalonzo's decision to decline his invitation to work with the government, saying he respected it—but issued a stern warning against what he called "unprovoked falsehoods."
15 Jun 2025
- The deceased, identified as Calvince Omondi Onditi, was apprehended by the area chief at around 3 a.m. on Sunday after reportedly being found in a goat pen in a homestead near Ndhuru Trading Centre.
15 Jun 2025
- The President said the government, in partnship with the World Bank, will provide KSh50,000 to 70 small business owners - a total of KSh3.5 million - in each of the country’s 1,450 wards.
15 Jun 2025
- Speaking on Sunday during a Church Service at AIC Nairagie Enkare in Narok East, Narok County, the DP encouraged citizens to be patriotic and peacefully co-exist for the nation to prosper.
15 Jun 2025
- National Assembly Speaker Moses Wetang'ula says construction of key roads in the western region that are stalled is set to resume the new Financial Year, 2025/26.
15 Jun 2025
- Officials from the U.S. National Transportation Safety Board (NTSB) surveyed the site of Air India plane crash that killed at least 271 people, sources said on Sunday, with families continuing to wait for DNA profiling results to identify charred bodies.
15 Jun 2025
- A 26-year-old woman is in police custody after attempting to smuggle cocaine outside the country through the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA).
15 Jun 2025
- Complications emerged with the protocol of official functions during Ruto and Gachagua's tenure.
15 Jun 2025
- Ojwang's death sparked protests, particularly in Nairobi, with demonstrators demanding answers
15 Jun 2025
- Vigils honouring the dead have taken place across India and the UK