Skip to main content
Skip to main content

Chama cha Jubillee chamteua Fred Matiang'i kugombea urais

  • | Citizen TV
    6,671 views
    Duration: 1:20
    Baraza kuu la chama cha Jubilee limemteua waziri wa zamani Fred Matiang'i kuwa mgombea wa urais katika uchaguzi wa mwaka wa 2027 kwa tikiti ya chama hicho. Akitangaza uamuzi huo baada ya mkutano wa viongozi wakuu wa chama hicho hapa Nairobi, katibu mkuu wa chama hicho Jeremiah Kioni ametangaza kuwa Matiang'i pia ameteuliwa kuwa naibu kinara wa Jubilee.