'Tunaishi kwa kazi hii ya kuimba na watoto tunasomesha'
Ulemavu umewanyima wengi fursa ya kuonesha ukubwa na ubora wa karama walizo jaaliwa, lakini kwa Daniel Maige na kundi lake ulemavu sio kikwazo, kwani licha ya kutoona wanatumia vipawa vyao vya muziki kutunga nyimbo na kupiga ala mbalimbali za muziki kwenye Barabara za Jiji la Dar es salaam.
Kwa Mara ya kwanza Daniel na wenzake walingia barabarani mwaka 2015 na tangu wakati huo hadi hii leo wanaendelea kuudhiirishia ulimwengu kuwa wamejaliwa karama za kipekee licha kukabiliana na changamoto mbalimbali kama vile usafiri, uchakavu wa vifaaa na hata kadhia ya kufurushwa na askari wa jiji baadhi ya maeneo.
Mwandishi wa BBC @eagansalla_gifted_sounds aliwatembelea na kuandaa tarifa ifuatayo.
#bbcswahili #tanzania #ulemavu
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
7 Aug 2025
- Police are expected to adhere to the directive within the next seven days.
7 Aug 2025
- Kericho Governor Eric Mutai has called for the 'dissolution' of the county.
7 Aug 2025
- The proposal to outlaw boda bodas came from one of Ruto's top advisers.
7 Aug 2025
- The United Nations is set to expand its base in Kenya as Agencies, Funds and Programmes relocate some of their regional and global operations to Kenya.
7 Aug 2025
- President William Ruto has mourned the loss of eight Ghanaian nationals who were involved in a military helicopter crash.
7 Aug 2025
- President William Ruto has mourned the loss of eight Ghanaian nationals who were involved in a military helicopter crash.
7 Aug 2025
- Two families in Mlolongo, Machakos County, are in anguish months after their kin disappeared under mysterious circumstances.
7 Aug 2025
- Police are expected to adhere to the directive within the next seven days.
7 Aug 2025
- Kericho Governor Eric Mutai has called for the 'dissolution' of the county.
7 Aug 2025
- The proposal to outlaw boda bodas came from one of Ruto's top advisers.
7 Aug 2025
- New user registrations for the platforms rose by 10,440 to reach 41,265.
7 Aug 2025
- His latest pronouncement comes amid public concerns.
7 Aug 2025
- President Ruto stated that boda boda operators are legitimate entrepreneurs whose businesses must be supported.