Juhudi za kutafuta amani Sudan Kusini, katika Dira ya Dunia TV
Ujumbe wa ngazi ya juu wa Umoja wa Afrika umefika nchini Sudan Kusini kwa lengo la kufanya mazungumzo ya kuzuia kuzuka upya kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe. Mpango huo unafuatia kuzuiliwa kwa Makamu wa Kwanza wa Rais Riek Machar, ambaye ameshutumiwa na serikali ya Rais Salva Kiir kwa kujaribu kuchochea uasi-madai yanayohusishwa na mapigano ya hivi karibuni katika jimbo la Upper Nile. Mapema hii leo, Rais wa Uganda Yoweri Museveni alikutana na Rais Kiir Juba. Maelezo mahususi ya majadiliano hayo hayajawekwa wazi, lakini yale yanayoendelea nchini Sudan Kusini yameibua wasiwasi kuhusu uthabiti wa mkataba wa amani uliotiwa saini mwaka 2018.
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
17 Jun 2025
- Kenyans have expressed their eagerness to take to the streets over recent happenings in the country.
17 Jun 2025
- The proposed changes are set to be discussed in the Senate before implementation.
16 Jun 2025
- The police constable who was first arrested in connection to Ojwang's death has spoken up.
17 Jun 2025
- Ugandan President Yoweri Museveni has signed legislation that allows military tribunals to try civilians, parliament said on Monday, a move opposition leaders said violates a Supreme Court ruling.
17 Jun 2025
- Kenyans have expressed their eagerness to take to the streets over recent happenings in the country.
17 Jun 2025
- Two opposition parties...called this move a 'constitutional coup'.
17 Jun 2025
- The proposed changes are set to be discussed in the Senate before implementation.
17 Jun 2025
- Washington insists on a path to peace, even as the bombs fall.
17 Jun 2025
- Educating men on progressive masculinity is essential for changing mindsets and building equitable, gender-just societies.
17 Jun 2025
- Yesterday, June 16, 2025, was International Domestic Workers Day, set aside by the United Nations and observed globally to recognise the significant contribution of domestic workers to the economies of families, communities, nations and the world.…
17 Jun 2025
- According to Pastor John Njoroge from PISGHA Academy, the medical camp had come at the right time, as families were undergoing untold suffering.
17 Jun 2025
- Kenya’s top paralympic athletes could feature at this month’s National Athletics Championship after the Kenya National Paralympic Committee (KNPC) formally petitioned Athletics Kenya (AK) to include them in the three-day competition slated for June 26-…
17 Jun 2025
- Court rules ungazetted school levies illegal in win for parents