Kutana na ligi ya kipekee ya wabibi wanasoka barani Afrika
Huenda wasiwe na ujuzi kama Lionel Messi au Cristiano Ronaldo, lakini hilo halijawazuia Bibi hawa wa Kiafrika kujifunza kupiga penalti na mbinu za kukaba.
-
Hii imekuwa kazi ya Rebecca Ntsanwisi mwenye umri wa miaka 57 kutoka Afrika Kusini, aliyeanzisha timu za Bibi wazee wanasoka katika nchi mbalimbali barani Afrika kwa lengo la kuboresha afya ya akili na mwili kwa wanawake wenye umri mkubwa.
-
Timu tano kutoka Afrika zinashiriki kwenye mashindano ya Kombe la Dunia la Soka la wabibi huko Limpopo, ambapo mchezaji mkongwe zaidi ana zaidi ya miaka 80. Tazama video hii uone jinsi soka ilivyowapa maajuza hawa mwamko mpya wa maisha.
-
-
-
#bbcswahili #soka #wabibi #kandanda #ligi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
9 Aug 2025
- The multi-pronged structure is all under the Inspector General of Police.
9 Aug 2025
- Phase one of the stadium's construction has already begun.
9 Aug 2025
- Sifuna has been critical of President Ruto, demanding his ouster.
10 Aug 2025
- Energy Principal Secretary Alex Wachira has said that electricity vandals were on the rise thereby causing economic sabotage in the country disrupting services and endangering communities and hence called on security to put efforts in tackling the vice.
10 Aug 2025
- India shot down five Pakistani fighter jets and one other military aircraft during clashes in May, India's air force chief said on Saturday, the first such statement by the country months after its worst military conflict in decades with its neighbour.
10 Aug 2025
- Haiti's former national palace security chief, Vladimir Paraison, was appointed national police chief by the country's transitional government on Friday, as the Caribbean nation looks to battle armed gangs that have displaced over a million people.
10 Aug 2025
- The commerce department has started issuing licenses to Nvidia to export its H20 chips to China, a U.S. official told Reuters on Friday, removing a significant hurdle to the AI bellwether's access to a key market.
10 Aug 2025
- Colombian president Gustavo Petro announced Friday the start of fresh talks with Clan del Golfo, the country's largest drug-trafficking gang and the world's largest producer of cocaine.
10 Aug 2025
- NPS condemns mob justice, urges respect for human dignity and law
10 Aug 2025
- Three teens challenge blanket ban on sex between adolescents
10 Aug 2025
- DP Kindiki's national economic empowerment programme stirs debate
10 Aug 2025
- Pride is our nation's real pandemic and only humility can save leaders
10 Aug 2025
- 'Dr Aden' fears journos' questions more than a cold July morning