- 1,912 views- "Simba ajiandae kutoka, abakie Mwakarobo, tuendele kubakia na lile jina, na pale Mwakarobo hawezi kutoka, ni Mwakarobo, nusu haiwezekani, Simba uwezo hana." - Katika soka la Tanzania, majibizano ya mashabiki wa Yanga na Simba si jambo geni, lakini jina la "Mwakarobo" limejikita zaidi katika simulizi ya maumivu ya mara kwa mara ya Simba kutolewa kwenye hatua ya robo fainali. Mwakarobo ni jina la kawaida tu la asili ya watu wa Mkoa wa Mbeya, hasa Tukuyu. - Leo tarehe 9 Aprili 2025, Simba itaingia dimbani Benjamin Mkapa kurudiana na Al Masry, ikiwa na lengo moja: Kufuta jina hilo kwa nguvu ya mabao, kushinda kwa zaidi ya mabao matatu na kuvuka hadi nusu fainali ya tatu katika historia yao ya mashindano ya Afrika. Je, safari hii itafanikiwa kuivunja laana ya Mwakarobo? - - - #simba #simbasctanzania #mnyama #tanzania #kandanda #bbcswahili #MICHEZOSubscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Simba vs Al Masry : Je, Simba ya Tanzania itaivunja laana ya Mwakarobo?
- - Duniani Leo ››
- 17 Jun 2025 - Someone within government circles labelled him a prime suspect at a meeting of top officials.
- 17 Jun 2025 - According to United Nations Population Fund, persons with disabilities make up 2.2 per cent of the population — about 900,000 people.
- 17 Jun 2025 - The plastic waste menace birthed the idea to produce fuel from plastics, he says
- 17 Jun 2025 - The actual figure may be higher, as some counties did not disclose their borrowing
- 17 Jun 2025 - Imlu says underlying bad blood where NPS officers have reportedly refused to cooperate could stall investigations.
- 17 Jun 2025 - The appellate court agreed that this crucial detail had been ignored.
- 17 Jun 2025 - Thousands of civil servants serving in positions of directors and above have been left in utter shock after the government set standards that require them to have Master’s Degrees. The Public Service Commission (PSC) has sent shockwaves through the…
- 17 Jun 2025 - Last week’s high-level meeting in Changsha between China’s top diplomat Wang Yi and representatives from 53 African countries sent a powerful and optimistic message: China is moving with clarity and purpose to implement the 10-point action plan unveiled…
- 17 Jun 2025 - Christine Riaro and her all-star team of Tabitha Ojwang, Joyce Osike and Griffins Owino extended their dominance a the 12th leg of the KCB East Africa Golf Tour at Nyanza Golf Club, sealing a third consecutive victory at the Nyanza leg with a combined…
- 17 Jun 2025 - A 35-year-old fisherman died in a police holding cell at Kipasi Police Post in Suba North Constituency, Homa Bay County, raising fresh concerns over the security of individuals being detained in police custody. The incident comes after the controversial…