- 1,912 views- "Simba ajiandae kutoka, abakie Mwakarobo, tuendele kubakia na lile jina, na pale Mwakarobo hawezi kutoka, ni Mwakarobo, nusu haiwezekani, Simba uwezo hana." - Katika soka la Tanzania, majibizano ya mashabiki wa Yanga na Simba si jambo geni, lakini jina la "Mwakarobo" limejikita zaidi katika simulizi ya maumivu ya mara kwa mara ya Simba kutolewa kwenye hatua ya robo fainali. Mwakarobo ni jina la kawaida tu la asili ya watu wa Mkoa wa Mbeya, hasa Tukuyu. - Leo tarehe 9 Aprili 2025, Simba itaingia dimbani Benjamin Mkapa kurudiana na Al Masry, ikiwa na lengo moja: Kufuta jina hilo kwa nguvu ya mabao, kushinda kwa zaidi ya mabao matatu na kuvuka hadi nusu fainali ya tatu katika historia yao ya mashindano ya Afrika. Je, safari hii itafanikiwa kuivunja laana ya Mwakarobo? - - - #simba #simbasctanzania #mnyama #tanzania #kandanda #bbcswahili #MICHEZOSubscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Simba vs Al Masry : Je, Simba ya Tanzania itaivunja laana ya Mwakarobo?
- - 🔴 TV47 LIVE ››
- - 2025 08 09 21 18 16 ››
- 10 Aug 2025 - Energy Principal Secretary Alex Wachira has said that electricity vandals were on the rise thereby causing economic sabotage in the country disrupting services and endangering communities and hence called on security to put efforts in tackling the vice.
- 10 Aug 2025 - India shot down five Pakistani fighter jets and one other military aircraft during clashes in May, India's air force chief said on Saturday, the first such statement by the country months after its worst military conflict in decades with its neighbour.
- 10 Aug 2025 - Haiti's former national palace security chief, Vladimir Paraison, was appointed national police chief by the country's transitional government on Friday, as the Caribbean nation looks to battle armed gangs that have displaced over a million people.
- 10 Aug 2025 - The commerce department has started issuing licenses to Nvidia to export its H20 chips to China, a U.S. official told Reuters on Friday, removing a significant hurdle to the AI bellwether's access to a key market.
- 10 Aug 2025 - Colombian president Gustavo Petro announced Friday the start of fresh talks with Clan del Golfo, the country's largest drug-trafficking gang and the world's largest producer of cocaine.
- 10 Aug 2025 - DP Kindiki's national economic empowerment programme stirs debate
- 10 Aug 2025 - Pride is our nation's real pandemic and only humility can save leaders
- 10 Aug 2025 - 'Dr Aden' fears journos' questions more than a cold July morning
- 10 Aug 2025 - How Ruto's goofs created a US-China dilemma
- 10 Aug 2025 - Trump's hand in relocation of UN bodies from New York to Nairobi