- 1,326 viewsMtoto wa kike anayechukuliwa kuwa wa "muujiza" amekuwa wa kwanza nchini Uingereza kuzaliwa na mama kupitia njia ya kupandikizwa kwa kizazi. Mama wa mtoto huyo, Grace Davidson, 36, alizaliwa na shida katika tumbo la uzazi, na dada yake akamsaidia tumbo lake mwaka 2023 katika kile ambacho wakati huo kilikuwa upandikizaji pekee wa uzazi uliofaulu nchini Uingereza. Tangu wakati huo, karibu upandikizaji wa aina hii 135 umefanywa katika nchi kadhaa, ikiwa ni pamoja na Marekani, China, Ufaransa, Ujerumani, India na Uturuki na Takriban watoto 65 wamezaliwa. #bbcswahili #uingereza #uzazi Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Ajifungua baada ya kupandikiza tumbo la uzazi la dada yake
- 17 Jun 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has arraigned the former Garissa County Government Chief Protocol Officer over claims of forging academic certificates to fraudulently secure employment and siphon millions in public funds.
- 17 Jun 2025 - Speaking publicly for the first time since the call, Meshack Ojwang’, father to the deceased, revealed that the Head of State personally reached out to offer his sympathies and pledged KSh 2 million to support the grieving family.
- 17 Jun 2025 - Lagat’s journey from humble beginnings to the upper echelons of law enforcement paints the portrait of a man who steadily climbed the ranks of the National Police Service through technical skill, strategic appointments, and academic discipline.
- 16 Jun 2025 - Police Constable James Mukhwana, currently in custody over the brutal killing of blogger and teacher Albert Ojwang’, has broken his silence, revealing chilling details about what transpired on the night of June 7, 2025, while Ojwang’ was held at the…
- 16 Jun 2025 - He was represented by a battery of lawyers led by Danstan Omari
- 16 Jun 2025 - On Monday, Lagat stepped aside pending investigations into the death of Albert Ojwang
- 16 Jun 2025 - The sweeping reforms seek to enhance transparency and public trust
- 16 Jun 2025 - The technician, who was reportedly paid Ksh.3,000 to disable the surveillance system, was remanded in Kilimani Police Station with a second suspect. Their detention follows an application by IPOA through its Assistant Director of Forensics, Paul Njihia.
- 16 Jun 2025 - “No longer will a mama mboga pay the same as a CEO,” Health CS Duale said.
- 16 Jun 2025 - Elgeyo governor says it's unfortunate some politicians are using Ojwang's death to profile others