- 1,326 viewsMtoto wa kike anayechukuliwa kuwa wa "muujiza" amekuwa wa kwanza nchini Uingereza kuzaliwa na mama kupitia njia ya kupandikizwa kwa kizazi. Mama wa mtoto huyo, Grace Davidson, 36, alizaliwa na shida katika tumbo la uzazi, na dada yake akamsaidia tumbo lake mwaka 2023 katika kile ambacho wakati huo kilikuwa upandikizaji pekee wa uzazi uliofaulu nchini Uingereza. Tangu wakati huo, karibu upandikizaji wa aina hii 135 umefanywa katika nchi kadhaa, ikiwa ni pamoja na Marekani, China, Ufaransa, Ujerumani, India na Uturuki na Takriban watoto 65 wamezaliwa. #bbcswahili #uingereza #uzazi Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Ajifungua baada ya kupandikiza tumbo la uzazi la dada yake
- 30 Apr 2025 - Kenya’s revised foreign policy is designed to address the interests of citizens and reposition Kenya's foreign engagements on the dynamic global landscape, Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has said.
- 30 Apr 2025 - President William Ruto’s State Visit to China saw more than 20 trade agreements and memoranda of understanding signed, that aim at improving various sectors of the economy.
- 30 Apr 2025 - The Climate Reality Project, a climate-focused nonprofit founded by former U.S. Vice President Al Gore, is set to host an in-person training event in Nairobi in June.
- 30 Apr 2025 - President William Ruto has praised the increased contributions to the National Social Security Fund (NSSF) as a step toward the country’s financial security.
- 30 Apr 2025 - Hungary's Foreign Minister presented a bill to the National Assembly proposing Hungary's formal withdrawal from the ICC.
- 30 Apr 2025 - Suspects of different nationalities came together to defraud victims.
- 30 Apr 2025 - According to the University’s Vice Chancellor Prof Deogratius Jaganyi, the program dubbed as Africa meets Bavaria, is aimed at fostering a vibrant research culture among students.
- 30 Apr 2025 - Ruto congratulated Chitunga and assured him of government support.
- 30 Apr 2025 - Ruto's surprise appearance at the Vatican despite sending Wetangula caused a buzz online.
- 30 Apr 2025 - According to lawmakers, while the volume of money staked by punters has been steadily rising,reflected in a sharp increase in excise duty collections, taxes from winnings have paradoxically declined.