Jeshi la polisi Dar es Salaam latoa onyo kwa CHADEMA
"Jeshi la polisi linatoa onyo kali kwa wale wote wanaopanga kutekeleza mpango huo kuwa watashughulikiwa vikali lakini kwa mujibu wa sheria"
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam limetoa onyo dhidi ya mpango wa Chadema kuhamasisha watu kukusanyika Mahakama ya Kisutu April 24 ili kumuunga mkono kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA Tundu Lissu atakapofikishwa Mahakamani hapo
Onyo hilo limekuja baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche kusisitiza watu kujitokeza kwa wingi siku hiyo
Kiongozi wa CHADEMA Tundu Lissu, alifunguliwa kesi kwa shutuma za uhaini baada ya kukamatwa mkoani Ruvuma alipokuwa kwenye kampeni ya kushinikiza mageuzi kwenye Tume ya Uchaguzi kabla ya uchaguzi wa mwezi Oktoba.
-
#bbcswahili #tanzania #uongozi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
9 Aug 2025
- The multi-pronged structure is all under the Inspector General of Police.
9 Aug 2025
- Phase one of the stadium's construction has already begun.
9 Aug 2025
- Sifuna has been critical of President Ruto, demanding his ouster.
10 Aug 2025
- Energy Principal Secretary Alex Wachira has said that electricity vandals were on the rise thereby causing economic sabotage in the country disrupting services and endangering communities and hence called on security to put efforts in tackling the vice.
10 Aug 2025
- India shot down five Pakistani fighter jets and one other military aircraft during clashes in May, India's air force chief said on Saturday, the first such statement by the country months after its worst military conflict in decades with its neighbour.
10 Aug 2025
- Haiti's former national palace security chief, Vladimir Paraison, was appointed national police chief by the country's transitional government on Friday, as the Caribbean nation looks to battle armed gangs that have displaced over a million people.
10 Aug 2025
- The commerce department has started issuing licenses to Nvidia to export its H20 chips to China, a U.S. official told Reuters on Friday, removing a significant hurdle to the AI bellwether's access to a key market.
10 Aug 2025
- Colombian president Gustavo Petro announced Friday the start of fresh talks with Clan del Golfo, the country's largest drug-trafficking gang and the world's largest producer of cocaine.
10 Aug 2025
- 'Dr Aden' fears journos' questions more than a cold July morning
10 Aug 2025
- How Ruto's goofs created a US-China dilemma
10 Aug 2025
- Trump's hand in relocation of UN bodies from New York to Nairobi
10 Aug 2025
- Ruto and allies flirting with danger by chest thumping about 2027 poll
10 Aug 2025
- Which way to resolve late funds disbursement to counties?