Skip to main content
Skip to main content

Waombolezaji bado wanazuru Kang’o Ka Jaramogi wakiomboleza na familia

  • | Citizen TV
    6,073 views
    Duration: 3:35
    Maelfu ya waombolezaji wamekuwa wakiwasili katika eneo la Kang’o Ka Jaramogi, huko Bondo alikozikwa hayati Raila Amolo Odinga ili kutoa heshima zao. Watu kutoka maeneo tofauti nchini na nje ya nchi wakifika kila siku kuomboleza na familia.