- 286 views
Baadhi ya wafugaji wa ngamia kaunti ya Taita Taveta wanakadiria hasara baada ya Ngamia saba kushambuliwa na kuuwawa na wezi chini ya kipindi cha miezi sita iliyopita katika shamba la kijamii la Saghalla huko Voi. Wafugaji hao sasa wakitoa wito kwa idara ya usalama eneo hilo kuingilia kati na kuwasaka wezi hao ambao wanazidi kuwangaisha kila mara. Kulingana nao, wezi hao wamekuwa wakichinja Ngamia hao na kuuza nyama kwenye miji ya kibiashara iliyo karibu. Tayari mshukiwa mmoja anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Maungu .
Ngamia 7 wameibwa katika muda wa miezi sita eneo la Maungu, Taita Taveta
- - KIDS ON THE BLOCK ››
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 10 May 2025 - The government has allocated Ksh.10.3 billion for the Last Mile Electricity Connectivity Project in the Mt. Kenya region as it targets realising Vision 2030’s goal of universal electricity access.
- 10 May 2025 - Two people arrested for stealing and destroying Kenya Power and Lighting Company (KPLC) equipment have been arraigned in Kerugoya Court.
- 10 May 2025 - Wiper party leader, Kalonzo Musyoka, has slammed President William Ruto for solely selecting the IEBC chairperson and its commissioners against the NADCO report.
- 10 May 2025 - Louis Prevost is still reckoning with what just happened in his family.
- 10 May 2025 - A US judge has temporarily blocked several federal agencies from proceeding with the mass layoffs of government workers ordered by President Donald Trump in February.
- 10 May 2025 - This comes after the Betting Control and Licensing Board suspended betting advertisements for 30 days.
- 10 May 2025 - The inauguration will take place on Sunday, May 18, 2025 at St. Peter's Basilica in Rome.
- 10 May 2025 - UDA has summoned nominated Senator Gloria Orwoba to face disciplinary action, accusing her of disloyalty, misconduct and violations of the party code
- 10 May 2025 - Leaders across Kenya’s political divide have called on security agencies to move swiftly and arrest the masterminds behind the killing of Kasipul MP Charles Ong’ondo Were
- 10 May 2025 - Leaders across Kenya’s political divide have called on security agencies to move swiftly and arrest the masterminds behind the killing of Kasipul MP Charles Ong’ondo Were