- 355 views
Hali ya taharuki imetanda kaunti ya Baringo baada ya watu wawili kupigwa risasi eneo la Loberer kwenye barabara ya Marigat kuelekea Chemolingot. Waliouawa ni dereva wa lori na mfanyiabiashara waliokuwa wakielekea katika soko la mifugo la Nginyang. Wananchi waliokuwa na ghadhabu walikusanyika na kufunga barabara ya Marigat - Nakuru huku wakitaka serikali kuwajibikia usalama wao. viongozi wa baringo na wananchi wanalaumu walinda usalama kwa kuzembea kazini na kuitisha hongo barabarani badala ya kukabiliana na wahalifu. Hata hivyo Kamishna wa Baringo Sangolo Kutwa amesema kuwa polisi wamepata ushahidi wa kutosha na watawakamata wahusika wa mauaji hayo.
Watu wawili wauawa kwenye uvamizi wa punde eneo la Loberer barabara ya Marigat-Chemolingot
- 3 May 2025 - Shock has engulfed Red Soil village in Mwea East, Kirinyaga County, after a 19-year-old girl died by suicide an hour after calling her father and elder sister and urging them to return home.
- 2 May 2025 - Internal Security and National Administration PS Raymond Omollo has called on parents, teachers, and community leaders to come together to combat the rising number of school dropouts and threats facing children in the country.
- 2 May 2025 - The late Kasipul Member of Parliament Charles Ong'ondo Were will be laid to rest on Friday next week at his rural home in Homa Bay County.
- 2 May 2025 - Five police officers were shot dead and eight others injured by Al-Shabaab militants at the Rakei area of Boni Forest, Lamu County.
- 2 May 2025 - Nakuru Senator Tabitha Karanja is presently hospitalised in London, Governor Susan Kihika has confirmed.
- 2 May 2025 - A post-mortem examination on the body of slain Kasipul MP Charles Ong’ondo Were is scheduled for Monday, May 5, 2025, as detectives intensify investigations into his fatal shooting.
- 2 May 2025 - Interior Principal Secretary Dr. Raymond Omollo, has issued a clarion call to parents, teachers, and community leaders to unite in addressing the growing challenge of school dropouts and threats facing Kenyan children, warning that inaction could…
- 2 May 2025 - The posts were found to be defamatory.
- 2 May 2025 - There is already a bill to consolidate all educational bursaries to be managed by one body.
- 2 May 2025 - The High Court has declared President William Rutos nomination of four individuals to the National Climate Change Council unconstitutional, illegal, and procedurally flawed.