Mawakili wa kiongozi wa Chadema Tundu Lissu wameshinda kutwa nzima mahakamani kujaribu kuiomba mahakama kusikiliza kesi dhidi yake ndani ya mahakama na wala sio mtandaoni.
Nje ya mahakama polisi wamepiga doria kuzuia watu kuingia mahakamani, nao viongozi wa CHADEMA wakizuiliwa nyumbani.
JE, kuna ni?
Peter Mwangangi anaangazia kwa kina taarifa hii na mengine mengi mubashara saa 3 usiku katika Dira ya Dunia TV kwenye ukurasa wa YouTube BBC Swahili.
#bbcswahili #tanzania #chadema
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
16 Jun 2025
- Tanzanian opposition leader Tundu Lissu told a court on Monday he had been denied his basic legal rights and that he would defend himself against a treason charge that carries the death penalty.
16 Jun 2025
- The Director of Public Prosecutions (DPP) has told the court that Nairobi Central Police Station OCS Samson Taalam interfered with crucial evidence related to an ongoing investigation into the death of Albert Ojwang in police custody.
16 Jun 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has urged the Kenyan youth to avoid taking to the streets on June 25 to commemorate the deadly aftermath of the anti-tax protests , warning that there is a plot to kill them.
16 Jun 2025
- Former Chief Justice David Maraga now wants president William Ruto to take action following the heinous murder of teacher Albert Ojwang', saying the buck stops with him as the head of government.
16 Jun 2025
- The government has ordered the immediate closure of over 500 gold mining sites in West Pokot County following the collapse of the Kambi Karaya site on Sunday, June 15, where one person was confirmed dead, with rescue efforts still underway to retrieve…