- 19,598 viewsMsikilize Rais wa Marekani Donald Trump akitania kwamba angependa kuwa papa ajaye, alipoulizwa na waandishi wa habari, akisema "hilo litakuwa chaguo langu la kwanza." Trump alitoa maoni hayo alipokuwa akiondoka Ikulu ya White House kuelekea Michigan, kufanya mkutano wa kusherehekea siku zake 100 za kwanza ofisini. Alipendekeza Kardinali Timothy Dolan, askofu mkuu wa New York, kama mrithi wa Papa Francis, akisema Dolan ni "mwema sana" #bbcswahili #marekani #donaldtrump Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
'Ningependa kuwa Papa' - Trump
- - Duniani Leo ››
- 11 Aug 2025 - Over the last week, three MSS officers lost their lives.
- 11 Aug 2025 - 28 years in bed: Naomi's relentless fight for dignity
- 11 Aug 2025 - Why Nairobi Hospital is in battle for survival
- 11 Aug 2025 - Like Jomo Kenyatta and Kwame Nkrumah, 'saviour' Ruto has disappointed
- 11 Aug 2025 - Devolution system's good, bad and ugly 12 years later
- 11 Aug 2025 - Gachagua, Ruto and Uhuru face crucial Mt Kenya by-election test
- 11 Aug 2025 - Wild cheers, wild bites: Football meets game meat in Dar es Salaam
- 11 Aug 2025 - Nearly three years into President William Ruto's administration, many of his promises appear to be caught in a loop of disruption, chaos, and last-minute damage control.
- 11 Aug 2025 - Elevated prolactin during pregnancy can reduce intimacy.
- 11 Aug 2025 - State moots plan to secure 20pc stake in high-risk industries