- 2,624 views
Maafisa wanne wa polisi wa ngazi za juu, wameshtakiwa kwa mauaji ya mtoto wa miezi 6 Samantha Pendo katika Kaunti ya Kisumu mnamo mwaka wa 2017. Mkurugenzi wa mashtaka ya umma, aliidhinisha mashtaka mbalimbali dhidi yao ikiwa ni pamoja na mauaji, ubakaji na mateso. Hata hivyo, maafisa wengine saba wa polisi hawakujumuishwa kwenye hati ya mashtaka. Na kama mwanahabari wetu Ruth Wamboi anavyoripoti, huduma ya kitaifa ya polisi imeifahamisha mahakama kwamba mshukiwa wa kumi na moja Mohammed Baa, ambaye ni afisa wa polisi aliyestaafu bado yuko huru, huku juhudi za kumpata nyumbani kwake huko Wajir zikikosa kuzaa matunda.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Maafisa-4 wa polisi washtakiwa kwa mauaji ya mtoto Samantha Pendo
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 6 May 2025 - Thika Sports Club played host to the eighth edition of the NCBA Golf Series on Saturday, with an impressive turnout of 270 golfers battling for top honors on the scenic pa-72 course. The day belonged to Dennis Gakuo and Naomi Kimata, who emerged as the…
- » Rising Stars assistant tactician Anthony Akhulia laments defensive lapses cost team crucial Group ‘B’ result6 May 2025 - Kenya’s Rising Stars suffered a crushing 3-1 defeat to Tunisia in their CAF Under-20 Africa Cup of Nations Group B clash at Cairo’s 30 June Stadium, a result that leaves their qualification hopes hanging by a thread. Despite taking an early lead through…
- 6 May 2025 - The late Kasipul Member of Parliament Charles Ong’ondo Were sustained five gunshot wounds, all fired from the left side of his body, autopsy reveals. According to a statement, an autopsy conducted by the Chief Government Pathologist, Dr. Johansen Oduor…
- 6 May 2025 - The suspects—Peter Kariuki Mathii, Issak Mugo Kanini, and David Nganga Macharia—were arraigned in court following their arrest by the Directorate of Criminal Investigations (DCI).
- 6 May 2025 - The officers — Francis Gachoki, Alexander Lorogoi, Isaac Wabukala, Michael Kimaiyo, Evans Kipsang, and Abdulrahman Ali Sudi — appeared before Principal Magistrate Kipkurui Kibellion and pleaded not guilty to one count of abduction with intent to confine.
- 6 May 2025 - Mother of missing Nakuru fisherman accuses KWS interfering in case
- 6 May 2025 - Kenyan pilot killed in Sudan army airstrike
- 6 May 2025 - Teachers fume over plan to slash their hardship allowance
- 6 May 2025 - My encounter with Pope Francis during the Covid-19 pandemic
- 6 May 2025 - Galla goats give lifeline to struggling pastoralists