Walinzi walio tayari kufa kwa ajili ya Papa
Wengi wanapowaona walinzi wa Vatican, wanaona mavazi ya kupendeza, rangi zinazong'aa na mwendo wa taratibu kana kwamba ni sehemu ya onesho la kihistoria. Kwa macho ya haraka, wanaweza kuonekana kama mapambo ya sherehe au wahusika wa tamthilia ya kifalme.
Lakini ukweli uliopo chini ya sare hizo za kuvutia ni wa kushangaza na mzito: hawa ni wanaume waliofundishwa kuua, walio tayari kufa kwa ajili ya Papa.
Hawa si walinzi wa kawaida. Ni Swiss Guards – jeshi dogo lenye historia ndefu ya uaminifu, ujasiri, na kiapo cha kujitoa muhanga kwa ajili ya imani na Kanisa. Ukishawajua kwa undani, hutaziona tena picha za Vatican kwa macho yale yale.
Mwandishi wa BBC Florian Kaijage amewaangazia walinzi hawa hodari wa Papa.
🎥: @frankmavura
#kanisakatoliki #papa ##bbcswahili
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
8 Jul 2025
- The Saccos have six months to comply.
8 Jul 2025
- Police trying to disperse the large crowds of angry residents.
8 Jul 2025
- The new levy should be remitted by the tenth day of each month.
8 Jul 2025
- The government has launched a fresh crackdown targeting foreign nationals from Burundi, Rwanda, the Democratic Republic of Congo (DRC), and Uganda’s Wagisu community residing in West Pokot County, over suspected involvement in cannibalism and human organ…
8 Jul 2025
- 36 suspects were arraigned on Tuesday at the Eldoret law court with charges of being in possession of weapons in public contrary to section 88 of the penal code.
8 Jul 2025
- The Cabinet Secretary for Health, Aden Duale, has vowed to end the practice of bed-sharing among patients in public health facilities to promote quality healthcare across the country.
8 Jul 2025
- The Parliament in Kenya is moving to formally integrate the National Government Constituencies Development Fund (NG-CDF), the Senate Oversight Fund, and the National Government Affirmative Action Fund (NGAAF) into the Constitution through the…
8 Jul 2025
- “We have not achieved what Saba Saba intended,” Raila stated. “The violation of human rights is still a challenge in the country. The economy has not performed as we expected. Saba Saba was meant to bring people together for a common cause” he asserted.
8 Jul 2025
- Families in Kiambu are in despair after six people, including a 12-year-old girl, were killed by police during Saba Saba Day protests on Monday, June 2025.
8 Jul 2025
- Narok County Senator Ledama Olekina has strongly criticized former Deputy President Rigathi Gachagua, insisting he should not be
8 Jul 2025
- Health Cabinet Secretary Aden Duale has directed all public hospitals to immediately stop the practice of bed-sharing, terming
8 Jul 2025
- Medical services in Kwale County are set to resume fully after the Kenya Medical Practitioners, Pharmacists and Dentists Union (KMPDU) called off the doctors’ strike following the signing of a Return-to-Work Formula with the county government. The…
8 Jul 2025
- Governor Abdi Ibrahim Guyo’s defence team has refuted claims that the Isiolo County Assembly held any sittings on