- 69 views
Naibu rais Profesa Kithure Kindiki amesema serikali haina ushindani wowote na kanisa Katoliki katika harakati za kuwahudumia wakenya hasa katika sekta za elimu, afya na ustawi wa kijamii. Kindiki alisema wajibu mkuu wa serikali yoyote ile ni kuwahudumia wananchi huku asasi nyingine zikitoa mchango wao. Akizungumza wakati wa ibada ya kutoa shukran katika kanisa la St. Theresa Riiji, dayosisi ya Meru, Kindiki wakati uo huo alitoa wito kwa viongozi wa kisiasa kukubali na kutii kanuni elekezi kuhusiana na utoaji wa michango katika makanisa mbalimbali.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Naibu rais Kindiki asema serikali haina ushindani wowote na kanisa Katoliki
- 22 Jul 2025 - In the remote, sun-scorched landscapes of northern Kenya, Marsabit County is emerging as a proud example of a region battling the harsh realities of climate change. Once flush with green pastures and abundant livestock, the area is now grappling with…
- 22 Jul 2025 - Since President William Ruto (UDA/Kenya Kwanza) and ODM leader Raila Odinga entered into a political pact to form a broad-based government on March 7, 2025, the country’s political landscape has undergone a dramatic transformation. This shift has been…
- 22 Jul 2025 - The body of former Karachuonyo MP Phoebe Asiyo will be airlifted from the US to Kenya on August 4, 2025, the family has disclosed as they finalise burial arrangements. According to a statement released by her son, Caesar Asiyo, an official at Victory…
- 22 Jul 2025 - Kalombotole is accused of killing two fellow patients, including 38-year-old Edward Maingi, who was bedridden at the time after suffering a stroke. A postmortem conducted at the Kenyatta Funeral Home confirmed that Maingi died from excessive bleeding…
- 22 Jul 2025 - Authorities in Kilifi County have raised fresh concerns over the possible resurgence of cult-related activities after police recovered the body of a man and rescued four frail individuals in Kwa Binzaro Village, barely 26km from the infamous Shakahola…
- 22 Jul 2025 - Ground shifting beneath Ruto, Raila feet in Western
- 22 Jul 2025 - Wave of unrest shakes schools as learners protest abuse, neglect
- 22 Jul 2025 - Mo Ibrahim cautions against Ruto's push for African credit rating agency
- 22 Jul 2025 - CAF gives nod to Kenya, Uganda and Tanzania after completing checks
- 22 Jul 2025 - Broken promise: Inside collapse of UNOPS Habitat Heights project