- 1,068 views
Mkurugenzi wa Idara ya ujasusi Nurdin Haji, ameonya kuwa upungufu wa bajeti unaweza kudhoofisha juhudi za usalama wa taifa. Akizungumza katika kikao cha Kamati ya Ulinzi Bungeni, Haji amesisitiza kuna haja ya kufadhili kikamilifu vyombo vya usalama vinavyolinda nchi. Idara ya Ujasusi NIS, ambayo imepewa Shilingi bilioni 55 katika bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 inaonya kuwa fedha hizo hazitoshi na upungufu huo unahatarisha vyombo vya usalama vinavyokabiliana na vitisho vipya kama uhalifu wa mtandaoni na pia ugaidi. NIS ilikuwa imeomba shilingi bilioni 65 katika bajeti..
Mkurugenzi wa NIS Noordin Haji asema hakuna vifaa vya ulinzi vya kutosha
- - Duniani Leo ››
- 22 Jul 2025 - How China firm got prime city land for free
- 22 Jul 2025 - Every Thursday, eight women transform from farmers into builders, carrying stones and mixing concrete under the scorching Subukia sun
- 22 Jul 2025 - Even spouses registered as joint owners don’t automatically benefit.
- 22 Jul 2025 - Kenyans have grown accustomed to a trend where relatives seek to inherit seats left vacant by their dead kin.
- 22 Jul 2025 - Concerns have been raised over calls by the Executive to mete out harsh penalties on arrested opposition politicians and anti-government protesters.
- 22 Jul 2025 - Team has recovered 1,445 rounds of ammunition, IED-making materials, medical supplies, militant maps, GPS devices and water caches.
- 22 Jul 2025 - Boniface Mwangi is the latest victim in a string of State action against activists.
- 22 Jul 2025 - Indian-born Pranay Kapur, just 21 and only in his second tournament on Kenyan soil, stunned the field to clinch the Kabete Open title by two shots to overcome a tricky back nine and narrow fairways to walk away with Ksh108,600 and underline Africa’s…
- 22 Jul 2025 - Economists and financial analysts have raised the alarm over Kenya’s persistent failure to establish a sinking fund to manage its ballooning public debt. They described the failure as a missed opportunity for fiscal transparency and a potential avenue…
- 22 Jul 2025 - The Gen Z protests, which were sparked by last year's finance bill, have emerged as a powerful force for accountability and justice.