- 153 views
Watu watatu wanaoshukiwa kuhusika na visa vya utekaji nyara na wizi katika kaunti nne wamefikishwa katika mahakama ya Murang'a baada ya kukamatwa Ijumaa wiki iliyopita.. Washukiwa hao watatu Godfrey Njeru, Caroline Kairu na Caroline Mueni walifikishwa mbele ya hakimu mkuu mkaazi Erick Musambai ambapo walikana mashtaka saba yanayowakabili yakiwemo wizi, utekaji nyara na kupokea pesa kwa njia ya udanganyifu. Washukiwa hao walikuwa wanasakwa katika kaunti nne za Nairobi, Murang’a, Kiambu na Nakuru kwa kuhusika na visa kadhaa vya uhalifu. Hakimu musambai aliamuru wazuiliwe kwa siku saba na wanatarajiwa tena mahakamani tarehe 20 mwezi huu. Washukiwa hao walikamatwa katika eneo la Kangema baada ya polisi kupokea habari kwamba walikuwa wamemteka nyara mwanamke mmoja na kutishia kumuua iwapo familia yake haitawalipa fedha..
Watu 3 wanaohusishwa na utekaji nyara katika kaunti 4 washtakiwa Murang'a
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 24 Jul 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has declared war on rogue agencies and conmen who have become rampant in Eldoret city, promising to facilitate overseas education and jobs.
- 24 Jul 2025 - The order has been mired in legal back-and-forth for months, and is currently halted by a federal court amid multiple legal proceedings.
- 24 Jul 2025 - The foreign ministry in Brasilia said the country was "in the final phase of presenting a formal intervention" in the case already formally joined by states including Colombia, Libya and Mexico, and supported by many others.
- 24 Jul 2025 - The Al-Shaer family went to bed hungry at their home in Gaza City. An Israeli airstrike killed them in their sleep.
- 24 Jul 2025 - Before insurgency upended daily life, Damboa was a regional farming hub. Today it stands on the frontline of survival.
- 24 Jul 2025 - He spoke following an appeal by more than 100 aid agencies warning of hunger in Gaza while tons of food, clean water and medical supplies sit untouched just outside the territory.
- 24 Jul 2025 - A Norwegian who worked as a security agent at the US embassy in Oslo has been charged with spying for Russia and Iran, according to a legal document received by AFP on Wednesday.
- 24 Jul 2025 - Israel and Ukraine said Wednesday they had agreed to start talks on countering the "threat" posed by Iran, in a sign of deepening ties between the two countries.
- 24 Jul 2025 - The portal will be open for a few days.
- 24 Jul 2025 - Amenya was behind the exposé on the controversial JKIA-Adani deal.