- 1,793 views
Mwanahabari Zubeidah Kananu wa runinga ya KTN amechaguliwa tena kuwa rais wa chama cha wahariri humu nchini. Kananu alipata kura 72 akimpiku mpinzani wake Yvonne Okwara, wa runinga ya Citizen ambaye alipata kura 58 katika uchaguzi ulioandaliwa leo kupitia kwa njia ya mtandao. Naibu mhariri mkuu wa runinga ya KBC Millicent Awuor, alichaguliwa bila kupingwa kuwa mwanachama wa kitengo cha runinga katika baraza la chama hicho, huku Agnes Mwangangi ambaye ni mhariri na msomaji wa habari wa radio akichaguliwa kuwa mwanachama katika kitengo cha redio kwenye baraza la chama hicho. Asilimia 96.3 ya wapiga kura walishiriki katika uchaguzi huo
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mwanahabari Zubeidah Koome ashinda urais wa chama cha wahariri nchini
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 25 May 2025 - Harvard University's links to China, long an asset to the school, have become a liability as the Trump administration levels accusations that its campus is plagued by Beijing-backed influence operations.
- 25 May 2025 - Indonesia plans to announce economic stimulus measures on June 5 to revive activity and boost consumer purchasing power, hoping to push economic growth to around 5% this quarter, the Coordinating Ministry of Economic Affairs said on Saturday.
- 25 May 2025 - Elon Musk's social media platform X was largely restored for most users after an outage that impacted tens of thousands of users in the United States on Saturday, according to outage tracking website Downdetector.com, following which he said that he is…
- 25 May 2025 - Kenya Revenue Authority Commissioner General Humphrey Wattanga was put on the spot to explain why the agency is backing a controversial clause in the Finance Bill 2025.
- 25 May 2025 - Lawyers representing Juja MP George Koimburi, along with residents of Juja, are demanding that the government produce the legislator, who went missing on Friday.
- 25 May 2025 - Justice for the few: Is the system failing ordinary Kenyans?
- 25 May 2025 - Kindiki turns to musicians in a battle for Mt Kenya region soul
- 25 May 2025 - Mukuru affordable houses ready, but no tenants five days later
- 25 May 2025 - When you thought democracy was growing in EA, dictators sprouted
- 25 May 2025 - Seal: Sudi's rare show of wisdom in 'they could be jailed forever'