“Tunalinda Taifa au tunaharibu taswira ya Tanzania”
“Tunalinda Taifa au tunaharibu taswira ya Tanzania”
-
Mbunge wa Kawe Dar es Salaam Tanzania, Askofu Josephat Gwajima , amekemea vikali vitendo vya utekaji vinavyoendelea nchini, akisema vinaiharibu taswira ya Tanzania kimataifa na kuvuruga mahusiano ya kidiplomasia.
-
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam hapo jana, Gwajima alizungumzia juu ya tukio la kutekwa na kuuawa kwa kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA,Ali Kibao pamoja kutekwa kwa mwanaharakati wa CHADEMA, Mdude Nyagali ambaye hajulikani alipo kwa wiki tatu sasa.
-
Polisi nchini Tanzania wamekanusha kuhusika na matukio yote mawili.
Hata hivyo wanasema uchunguzi wa matukio yote mawili haujakamilika.
-
Gwajima pia amezungumzia juu ya madhila yanayoripotiwa kuwafika wanarakati Boniface Mwangi kutoka Kenya na Agather Atuhaire kutoka Uganda walipokuwa mikononi mwa mamlaka za usalama Tanzania.
-
Mamlaka za Tanzania hazijazungumzia madai ya mateso na udhalilishwaji wa kijinsia ulioripotiwa na wanaharakati hao.
-
#bbcswahili #siasa #utekaji #tanzania#kenya #uganda #for #fypage #fy #kawe #gwajima #explorepage✨ #explorer #trending #viral #viralreels #viralreels #viralvideo
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
12 Jul 2025
- Raila's comments come hours after Gachagua dismissed Odinga's calls for a national dialogue.
12 Jul 2025
- This comes days after Ruto asked police to shoot goons in the leg.
12 Jul 2025
- Alliance Girls' alumni recently stormed the school and protested against the teacher.
12 Jul 2025
- The family of Julia Njoki is demanding justice for their daughter as they remain unconvinced about the circumstances surrounding her death after the Saba Saba protests.
12 Jul 2025
- In a sharp rebuttal, Kindiki described the claims as “laughable” and “a clear sign of panic” within opposition ranks.
12 Jul 2025
- Kenya Power has announced scheduled power interruptions in several parts of the country on Sunday, July 13, 2025,
12 Jul 2025
- President William Ruto has reappointed former judge of the East African Court of Justice Charles Nyachae as the Chairperson of the Kenya School of Government for a three-year term.
12 Jul 2025
- A Director at Mara Ndovu Lodge Limited was arraigned before the Milimani Law Courts over charges of defrauding an unsuspecting victim out of Ksh.48.8 million in a sham investment deal.
12 Jul 2025
- A US citizen was beaten to death and a Palestinian shot and killed when Israeli settlers attacked Sinjil.
12 Jul 2025
- Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has declared that the government will unleash the same energy used to combat
12 Jul 2025
- Police have arrested a man believed to be involved in the destruction of property at Kitengela Sub-County Hospital
12 Jul 2025
- The leadership of two road agencies has been shaken following the resignation of two top officials on Friday.
12 Jul 2025
- Naivasha MP Jayne Kihara is accused of making inciteful comments at an unspecified event.