- 12 views
Watafiti, maprofesa na wataalamu wanaoshughulikia dhuluma za kijinsia kutoka vyuo vikuu nchini wanaonya kwamba kiwango cha dhuluma hizi kinazidi kuongezeka na kuathiri uchumi wa taifa, kuvuruga ndoa na kuwaachia waathiriwa udhia maishani. Katika mkutano na jopo linaloshughulikia dhuluma za kijinsia lililoongozwa na Dkt. Nancy Baraza, wasomi walibaini ufichuzi unaoibua wasiwasi ukionesha Kenya inapoteza shilingi bilioni 41 kila mwaka kutokana na visa vya dhuluma za kijinsia na mauaji ya wanawake. Wasomi hao waliopendekeza mifumo sawazishi ya kuripoti visa hivi pamoja na vituo jumuishi vya uokoaji ili kukabiliana na hali hii, walisema dhuluma za kijinsia sio suala la wanawake pekee, ila ni dharura ya kitaifa. Ben chumba na taarifa kwa kina.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Jopo la uchunguzi wa dhuluma za kijinsia kuwasilisha ripoti kwa rais
- - Duniani Leo ››
- 22 Jul 2025 - The families of victims of South Korea's deadliest plane crash on home soil have denounced a government report which blamed the disaster on pilot error, a representative told AFP Tuesday.
- 22 Jul 2025 - ODM leaders have slammed the opposition brigade for rejecting an intergenerational dialogue proposed by former Prime Minister Raila Odinga.
- 22 Jul 2025 - Salient Secondary School in Ol Kalou is set to be closed to pave the way for the establishment of the first-ever university in Nyandarua County.
- 22 Jul 2025 - Worldwide, some of the most widespread and damaging drought events in recorded history have occurred in recent years due to climate change and resource depletion.
- 22 Jul 2025 - Motorists were urged to use alternative routes.
- 22 Jul 2025 - The government has directed all referral hospitals to submit detailed security and operational audit reports within seven days, outlining existing gaps, corrective steps taken and urgent measures required.
- 22 Jul 2025 - The Public Service Commission has stated that the changes will be effected immediately.
- 22 Jul 2025 - The government in partnership with envoys and development partners have reaffirmed a shared determination to transform Nairobi’s urban infrastructure through meaningful collaboration, innovation, and transparent accountability.
- 22 Jul 2025 - The Kenya Wildlife Service (KWS), under the Ministry of Tourism and Wildlife, has unveiled a nationwide public participation
- 22 Jul 2025 - KK Mwenyewe died while receiving treatment at Kiambu Level 5 Hospital, last week.