Skip to main content
Skip to main content

KEBS yakusanya maoni kuhusu mabadiliko ya sheria zake

  • | Citizen TV
    128 views
    Duration: 1:25
    Shirika la kukadiria Viwango vya bidhaa (KEBS) kwa ushirikiano na Wizara ya Uwekezaji, Biashara na Viwanda limeandaa kikao cha ushirikishwaji wa umma kukusanya maoni kuhusu Mswada wa kubadilisha sheria ya shirika hilo katika kaunti ya Trans Nzoia.