- 44 views
Serikali imetangaza kurejelewa kwa mpango wa Kazi Mtaani chini ya jina jipya, Climate Worx unaotarajiwa kung’oa nanga mwezi Julai mwaka huu. Katibu katika idara ya nyumba Charles Hinga amesema jumla ya vijana elfu-113 kutoka kaunti zote 47 watashirikishwa katika mradi huo. Vijana wanaotumainia kuajiriwa katika mpango huo wamehimizwa wajisajili mtandaoni kupitia tovuti ya www.crsp.co.ke. Jumla ya shilingi bilioni-5 kutoka wizara ya barabara zimetengwa kufanikisha mradi huo kwa muda wa miezi sita. Tangazo hilo linajiri baada ya rais William Ruto kusema mradi huo utazinduliwa kote nchini hivi karibuni.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kazi Mtaani I Vijana waanza kujisajili kwa mpango wa Climate Worx
- - 🔴TV47 Live ››
- 7 Jun 2025 - Furious residents in Tharaka Nithi County have disrupted multiple budget forums for the 2025/2026 financial year, accusing the county government of corruption, empty promises, and gross mismanagement of public funds.
- 7 Jun 2025 - Four people have been confirmed dead and five others injured after a gold mine collapsed early Saturday morning in Karon village, West Pokot County.
- 7 Jun 2025 - In a show of might, the Kapsaret MP lavished Uasin Gishu residents with goods worth Ksh145 million.
- 7 Jun 2025 - PS Hinga further said COTU has a seat on the Affordable Housing Board
- 7 Jun 2025 - Kalonzo fights back to keep Ruto's troops off his Ukambani stronghold.
- 7 Jun 2025 - The government urged the qualified candidates to apply for positions before June 18, 2025.
- 7 Jun 2025 - What's next in Trump's legal battle over tariffs?
- 7 Jun 2025 - In the breathtaking valleys of Saimo Soi in Baringo County, rising dust once signalled danger, an ominous warning of bandit raids or unrest.
- 7 Jun 2025 - The Government has launched the textile and apparel enhancement programme in Technical and Vocational Education and Training (TVET), a collaboration between the State Department for TVET and Sainath Education Institute at the Karen Technical Training…
- 7 Jun 2025 - Unknown people shattered windows to her bedroom and locked her house from outside while she slept.