Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya Sudan yaunga mkono uchunguzi wa ICC kuhusu maafa Darfur

  • | Citizen TV
    669 views
    Duration: 2:41
    Serikali ya Sudan inaunga mkono uamuzi wa Mahakama ya kimataifa ya ICC ya kuanzisha uchunguzi wa maafa yanayoendelea katika jimbo la Darfur, nchini Sudan. Aidha, balozi wa Sudan nchini Kenya Mohammed Osman amesema kwamba serikali ya Sudan itawasiliana na Kenya kidiplomasia kusaidia kutafuta amani nchini humo