- 1,073 viewsLeo katika Waridi wa BBC ,kimemulika maisha na mchango wa Bi. Khadija Mwanamboka, mwanamitindo mashuhuri kutoka Tanzania, ambaye amekuwa mstari wa mbele katika kuleta mabadiliko chanya ndani ya tasnia ya mitindo. Kwa zaidi ya miaka 25, Khadija amejitokeza kama mfano wa kuigwa, si tu kwa ubunifu wake bali pia kwa kazi yake ya kuwajengea uwezo wanawake nchini Tanzania. Ametumia majukwaa ya mitindo kama chombo cha kuwainua wanawake kiuchumi na kijamii, kupitia miradi na mafunzo mbalimbali. Katika juhudi za Tanzania kupata utambulisho wake wa kitaifa kupitia vazi rasmi, Bi. Khadija ameteuliwa kuwa mjumbe wa kamati maalum ya kuandaa vazi la taifa. Katika mahojiano na mwandishi wa BBC @elizabethkazibure amefichua baadhi ya siri na vigezo vilivyozingatiwa katika kubuni vazi hilo, vikiwemo rangi za bendera ya Tanzania, na usasa wa Mtanzania. - - 📹@frankmavura @enamuhisa #bbcswahili #mitindo #fashion #khadijamwanamboka #vazilataifa #watoto #wanawake Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
BBC News Swahili
- - Kenya's gold part 2 ››
- - Kenya's gold part 1 ››
- 11 Aug 2025 - Kenya and the U.S. state of California are strengthening cooperation in technology, climate innovation, and sustainable development, President William Ruto announced on Monday.
- 11 Aug 2025 - Fresh fighting between the Somali government and forces loyal to the semi-autonomous southern Jubaland region killed at least two Somali soldiers on Monday, the defence ministry said.
- 11 Aug 2025 - Justice Bahati Mwamuye issued the directive after lawyer Kibe Mungai, representing the petitioner, informed the court that the DPP had yet to file his response, stalling progress in the case.
- 11 Aug 2025 - Police in Kilifi County say they have discovered seven shallow graves with human bones and skulls at Kwa Binzaro village.
- 11 Aug 2025 - The Nairobi Hospital on Monday announced it had suspended the implementation of its recently announced price adjustments following a meeting with medical insurance providers.
- 11 Aug 2025 - Mobile phone ownership in Kenya has risen from 47.3% in 2019 to 53.7% in 2024 as internet usage also increased nationally from 22.7 per cent in 2019 to 35.0 per cent in 2024.
- 11 Aug 2025 - Special trade agreements between Kenya and the UK allow the export of both goods and labour, and it is unclear what impact the changes will have.
- 11 Aug 2025 - The President said Kenya and the United States enjoy strong national and sub-national ties, with California.
- » Ojwang murder: DIG Lagat moves to block murder case He says the court has no authority to force the DPP to charge him. News 38 min ago Listen, Ojwang murder: DIG Lagat moves to block murder case News 38 min ago Listen- Ojwang murder: DIG Lagat moves to block murder case He says the court has no authority to force the DPP to charge him. News 38 min ago Listen, Ojwang murder: DIG Lagat moves to block murder case News 38 min ago Listen
- 11 Aug 2025 - This comes a day after the case was reported at the Capitol Hill Police Station.