Skip to main content
Skip to main content

Huzuni ilitanda Muyeye, Malindi katika mazishi ya aliyekuwa afisa wa GSU Isaac Ngala

  • | Citizen TV
    310 views
    Duration: 1:19
    Huzuni ilitanda katika Kijiji cha Muyeye eneo bunge Malindi wakati wa mazishi ya aliyekuwa afisa wa GSU Isaac Ngala aliyeaga dunia katika msitu wa Shakahola miaka miwili iliyopita.