Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Trans Nzoia walalamikia ushuru mwingi

  • | Citizen TV
    205 views
    Duration: 1:52
    Wakazi wa Kaunti ya Trans Nzoia wametoa wito kwa serikali ya kitaifa kupunguza mzigo wa ushuru unaowaathiri Wakenya wengi, hasa wafanyabiashara wadogo, ambao wanakabiliwa na changamoto kubwa kutokana na kupungua kwa matumizi ya wananchi.