Skip to main content
Skip to main content

Wahudumu wa watalii waandamana jijini Nairobi wakipinga ada mpya za kuingia mbugani

  • | Citizen TV
    1,281 views
    Duration: 40s
    Wadau wa sekta ya Utalii wameandamana mapema leo hapa jijini Nairobi kupinga ongezeko la ada za kuegesha magari na kuingia katika mbuga na hifadhi za wanyamapori nchini.